TatizoMambo yakurudia darasa LA Saba m
Uchumi kakaka angeenda private Ila mfuko hautoshiMambo yakurudia darasa LA Saba MBNA Kama yakizamani sana
Watu huwa wanawarudisha kwa kutafta majina shule jiraniWakuu habari ya November Nina dogo yuko dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawwzekana akaja dar akarudia darasa kwenye shule ya serikali? Kama inawwzekana Ivo process zake ziko vipi
Natanguluza shukrani!
Mtoto wa kike au wa kiume, nikuelekeze pm, Kuna shule wanasaidia watoto wa kike kusoma, wale waliotoka familia duni.Wakuu habari ya November Nina dogo yuko Dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa Ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawzekana akaja Dar akarudia darasa kwenye shule ya Serikali? Kama inawzekana process zake ziko vipi?
Natanguluza shukrani!
Shule gani hiyo mkuu!Mtoto wa kike au wa kiume, nikuelekeze pm, Kuna shule wanasaidia watoto wa kike kusoma, wale waliotoka familia duni.
Kwanza wewe unaona akili zake zinachaji ila kafeli bahati mbaya? Usiwe unampotezea muda wa kufanya kitu kingine cha maana zaidi.Wakuu habari ya November Nina dogo yuko Dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa Ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawzekana akaja Dar akarudia darasa kwenye shule ya Serikali? Kama inawzekana process zake ziko vipi?
Natanguluza shukrani!
Aende veta tu mkuuTatizo
Uchumi kakaka angeenda private Ila mfuko hautoshi