Chuo gani kinafundisha ethics za kazi? Chuo gani kinafundisha wanafunzi kushinda kwenye internet? Nadhani hoja yako ni zile zile za kuponda vyuo hasa UDSM. Simple minded!Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi
Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi
Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi[/QUOTE
alimaliza UDSM bado ni mwanafunzi, kwani hapo ofisini kwenu mnafundisha?
Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi
huyu jamaa naona ana matatizo mm nilifikiri hawezi kazi, angeleta evidence kuwa hawezi kazi tungejadili lkn maneno yake yana lengo la kujaribu kuichafua UDSM baada ya ile post ya jana iliyoonesha udsm ni chuo cha 6 Afrika kwa ubora, roho ilimuuma, mwache apoze maumivu yake, wengine tunazidi kusonga mbele
Tumezoea kuwaona wakijisifu kwenye socio-net lakini uwezo wao ni mdogo sana, ni watu wa misifa tu lkn hawana kitu kichwani ndo maana hawaishi kupiga kelele kuwa wao ni bora sana kuliko wanafunzi kutoka vyuo vingine. Kumbuka kama wewe ni bora huhitaji kupiga kelele watu wataona wenyewe uwezo wako.
Well said mkuu!! wana wivu sana hawa watu coz enzi zetu ukikosa nafasi UDSM basi wewe ni kilaza..unafikiri kukalia kimbweta mchezo,kuattend lecture Nkurumah Hall,Theater 1&2 wachache sana tumepata hiyo nafasi..Kuishi hall 2 hali ya hewa km sio dar vile full kiupwe!! hahaa..
Mtajibeba!! apige kazi huyo aache majungu
Well said mkuu!! wana wivu sana hawa watu coz enzi zetu ukikosa nafasi UDSM basi wewe ni kilaza..unafikiri kukalia kimbweta mchezo,kuattend lecture Nkurumah Hall,Theater 1&2 wachache sana tumepata hiyo nafasi..Kuishi hall 2 hali ya hewa km sio dar vile full kiupwe!! hahaa..
Mtajibeba!! apige kazi huyo aache majungu
Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi
mkuu ulitaka kusahau Hall 5 na hall 6.
Tumezoea kuwaona wakijisifu kwenye socio-net lakini uwezo wao ni mdogo sana, ni watu wa misifa tu lkn hawana kitu kichwani ndo maana hawaishi kupiga kelele kuwa wao ni bora sana kuliko wanafunzi kutoka vyuo vingine. Kumbuka kama wewe ni bora huhitaji kupiga kelele watu wataona wenyewe uwezo wako.
Kuna mwanafunzi alimaliza udsm mwaka jana amepata kazi hapa ofisini kwetu aithee kichwani empty brain kabisa hajui hata ethics za kazi muda wote yeye ni kushinda internet kwenye social networks huyu mwanafunzi hiyo pspa sijui aliisomaje kiukweli ni mzigo kwenye ofisi