mwanafunzi aliyemaliza udsm

Chuo gani kinafundisha ethics za kazi? Chuo gani kinafundisha wanafunzi kushinda kwenye internet? Nadhani hoja yako ni zile zile za kuponda vyuo hasa UDSM. Simple minded!
 
kwa hiyo wewe ethics yako ndo imekutuma kuleta habari za ofisici huku!
 

ah kweli kwel fulu majungu kwanza huo ni wizu jinsi anavyocheza na internet kwa we mwenyewe hi thread umeiandika masaa ndo ukaipost kwenda huko jinga hilooo
 
 
UDSM imekuwa ya 7 kwa sasa kwa Ubora wa Universities kwa Afrika zikiongozwa na Universities za South Africa.
 
Tumezoea kuwaona wakijisifu kwenye socio-net lakini uwezo wao ni mdogo sana, ni watu wa misifa tu lkn hawana kitu kichwani ndo maana hawaishi kupiga kelele kuwa wao ni bora sana kuliko wanafunzi kutoka vyuo vingine. Kumbuka kama wewe ni bora huhitaji kupiga kelele watu wataona wenyewe uwezo wako.
 
I think this is because of the fall of UDSM rise of other universities as a super power in the county that's why the former degrades the later.
 
mmmmmmmmmhhhhh udsm!!udsm for what purpose please watz we have to discuss important matters not this stupid one coz each university having chance to contribute to the national development either human resources or ushauri so tukifanya hayo tutaendelea udom saut ardhi tumaini and others wake up juzi mmeona udasa walichofanya kuhusu mustakabali wa elimu katika nchi yetu na haya ndo tunanoyahitaji na sio bla bla 2 everyday!
 

sasa wewe unataka sisi tufanye nini??? kwani hapa kuna mtu ni mwajiri wake?? fanya kazi acha majungu hamchokiii tuu??
 

Well said mkuu!! wana wivu sana hawa watu coz enzi zetu ukikosa nafasi UDSM basi wewe ni kilaza..unafikiri kukalia kimbweta mchezo,kuattend lecture Nkurumah Hall,Theater 1&2 wachache sana tumepata hiyo nafasi..Kuishi hall 2 hali ya hewa km sio dar vile full kiupwe!! hahaa..

Mtajibeba!! apige kazi huyo aache majungu
 

waone mara ngapi na ilihali ni chuo pekee tz kilichoingia ktika vyuo bora africa? Wivu acheni penye ukweli semeni acheni kujing'atang'ata.
 

pengne hata waliomba udsm wakakosa nafasi , majungu tu
 

mkuu ulitaka kusahau Hall 5 na hall 6.
 
Huku kwenye jukwaa la elimu pumba na majungu ya kuponda vyuo vimezidi .ndio maana huwa sipendi sana kuingia huku kwani utoto ni mwingi sana.

Mleta uzi kaleta pumba moja kubwa sana, kama ambavyo huwa wanafanya wengine ila nimeshangaa sana kuona leo anapondwa .huyu kijana angetajwa kwamba anatoka chuo kingine chochote kile nadhani mleta uzi angeonekana kaleta bonge la hoja na hawa waliomkosoa wala wasingesema waliyosema wangezama kuponda chuo.

Kiukweli hizi mada za ushindani wa vyuo zinatu bore sana watu tunaotumia akili kufikiri.
 

we ndiyo ujui kitu kwa sababu muda mwingi unatumia kuwachunguza wenzako
 
daah...nimemis sana happy moments pale UD...kweli kila kitu kinapita na mambo yake yanapita...hhaha
 

Mbona umetanguliza kusema hawana kitu kichwani?
Haya ni maneno yanayoonyesha "a constricted outlook" jaribu kufikiri kwa mapana then utoe komenti!
 

Unajua unaonekana wewe ndio unashinda mitandaoni kwa sababu ni mhudhuriaji mkubwa wa Jukwaa la siasa....
Jinsi comment zako zilivyo kule unaonesha wewe ndie empty headed na hujui ethics za kazi....sasa pengine umeona mwenzio yuko serious na kazi ukaamua kutokuwa na ethics kabisa kwa kuleta umbea jukwaani hapa....
Nilishawahi kuona chizi pale C1 Bugando akimuita Daktari chizi chizi hilo....so sikushangai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…