Mwanafunzi aliyepotea kwa siku 35 adai aliondoka Shuleni baada ya kubakwa na Mwalimu

Mwanafunzi aliyepotea kwa siku 35 adai aliondoka Shuleni baada ya kubakwa na Mwalimu

Kuna clip inatembea mitandaoni ya Esta akikata mauno kwenye mchiriku kwa kweli huyu hakustahili hata kuitwa mwanamfunzi bali kahaba angewaharibu wanafunzi wengine
 
Mwanafunzi kidato cha tano wa Shule ya Sekondari Panda hill, Esther Noah (18) amesema chanzo cha kutoroka shuleni ni kunyanyaswa kingono na mwalimu wa shule hiyo anayejulikana kwa jina la mwalimu Jimmy.


View attachment 2675660
Et "mhh mhh akawa kanibaka"

Jinga sana haka katoto
 
Back
Top Bottom