Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.

Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.

Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.

Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.

Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.

Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.

Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.

Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.

Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.

Tupaze sauti.
Mwalimu acha unafiki na usaliti kwa wenzako.
 
Sasa hivi una muona hana akili, ila subiri mamlaka zichukue hatua ndiyo utajua kuwa jamaa ana akili au hana akili. Au subiri huyo mwanafunzi apatwe na madhila mabaya zaidi ndiyo utajua reaction ya watu. Atakaye teseka ni mwalimu/walimu waliohusika na hilo tukio. Walimu sijui hawajifunzi kutokana na matukio ya siku za nyuma. Pia nyakati zimebadilika sana. Kila kimebadilika sana, na mabadiliko huwezi kuyazuia wewe. Suala la fimbo sikatai ila fimbo 20 hapo Hapana. Times have changed. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa kutumia akili na nadharia za karne ya 20. Sasa hivi ni karne ya 21 kaka. Dunia imebadilika kwenye kila eneo pamoja na kwenye namna ya kutoa adhabu. Sasa wamemchapa huyo mwanafunzi, nini wamenufaika? Na hii habari aliyoanzisha huyo jamaa itaelea kama upepo. Huna uwezo wa kuzuia siku hizi kutoa habari kwa sababu kila mmoja amepewa platform ya kutoa habari. Wasalam
Mtoa mada analalamikia adhabu ya mwanafunzi kuondolewa hostel na hivyo kulazimika kutokea nyumbani kama day scholar, suala la viboko ni kuchombeza na kuipa shida yake mashiko. Anachosahau ni kwamba walimu wameamua kuwalinda mabinti watiifu kwa kuwaondoa hostel vichwa maji.
 
Kaka dunia umebadilika sana. Mwanafunzi wa sasa hawezi kuishi kama ulivyoishi wewe. Pia subiri huyo mwanafunzi hali yake iwe tete zaidi ndiyo utajua kama fimbo 20 ni chache au nyingi. Sijui kwanini nyie walimu hamjifunzi kitu kutoka kwa walimu wenzenu walio wahi kuchapa wanafunzi na mwishowe wakaishia kuchapwa wao na mamlaka.
Inavyoonekana hata hajachapwa otherwise mleta habari angeshaonyesha uthibitisho
 
Hao Waalimu Makatili ni matokeo walivyofanyiwa Ukatili wakiwa Wanafunzi yaani sababu na wao walikua wakikosea wanachapwa baada ya kua waalimu wanaona kuchapa ni sahihi, na wanaosapoti adhabu za Fimbo wote background yao walilelewa kikatili kwa kupigwa na Wazazi wao na Walezi wao na Waalimu wao, Trauma inawatesa,

Adhabu zipo nyingi za kumpa Mtoto kama akikosea, anaambiwa aokote uchafu, Afyeke Majani, Asafishe Library au Laboratory, Dentetion lakini sio Fimbo,

Mimi sikuchapwa Fimbo Mtu aje amchape Mwanangu yaani Ada nilipe na bado wamuharibu kisaikolojia Mwanangu hehehehe mbona ataiona chungu taaluma yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nawapongeza walimu waliotoa hiyo adhabu, fimbo 20 ni chache mno, ndo maana nilikataa kwenda airwing kufundisha, maana na ngumi zingekuwepo

Nyie ndo mnatengeneza kizazi cha watoto wapumbavu na washenzi, watoto lelemama wasio wakakamavu, hizo ni chache mno

Mwanafunzi lazima ale mkong'oto wakisawasawa, hata akirudi anachechemea ni sawa, hakuna kufuga ujinga

Nasema mambo mengi yakipuuzi kama ya wale vijana wa ifm yalianzia huku kusema haki ya mtoto, haki ya nyokwe, ffs[emoji35][emoji35][emoji35]

NASEMA WALIMU TEMBEZENI BAKORA, PIGENI KISAWASAWA MPAKA MAKALIO YA HAO WANAFUNZI WASIO WATII YAVIMBE

Ni mimi mzazi: Mwalimu wa Tuisheni
 
Inashangaza watetezi wa huo upuuzi kujificha kwenye kichaka cha maadili!. Joining instructions ya shule nyingi huwa inaeleza mwanafunzi akikutwa na simu adhabu ni kufukuzwa shule. Ajabu wasimamizi wa maadili wameshindwa simamia maadili yao ya kazi. Viboko 20 kwa mtoto wa kike tena makalioni?

Mbaya zaidi hajakutwa na kidhibiti bali kapigwa kwa "hearsay". Kweli afya ya akili ni janga kubwa na wahanga wengi ni walimu.
Kati ya kufukuzwa (dismissal) na kuchapwa viboko 20 ni kipi chenye nafuu kwa mtoto?
 
Hao waalimu wachukuliwe hatuna kwa kutoa adhabu ndogo

Ilitakiwa adhabu iwe kubwa kuliko hiyo

Walimu wapewe nguvu labda itasaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili
Hao walimu n watuhumiwa sababu hawamkuta na hyo simu. Kwann waafrica uchunguzi wetu unafanyika kwa adhabu badala intelligence.
Adhabu n haki kwa mwanafunzi lakn awe na kosa kwel.
 
Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.

Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.

Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.

Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.

Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.

Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.

Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.

Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.

Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.

Tupaze sauti.
Hao walimu n watuhumiwa sababu hawamkuta na hyo simu. Kwann waafrica uchunguzi wetu unafanyika kwa adhabu badala intelligence.
Adhabu n haki kwa mwanafunzi lakn awe na kosa kwel.
 
Hao Waalimu Makatili ni matokeo walivyofanyiwa Ukatili wakiwa Wanafunzi yaani sababu na wao walikua wakikosea wanachapwa baada ya kua waalimu wanaona kuchapa ni sahihi, na wanaosapoti adhabu za Fimbo wote background yao walilelewa kikatili kwa kupigwa na Wazazi wao na Walezi wao na Waalimu wao, Trauma inawatesa,

Adhabu zipo nyingi za kumpa Mtoto kama akikosea, anaambiwa aokote uchafu, Afyeke Majani, Asafishe Library au Laboratory, Dentetion lakini sio Fimbo,

Mimi sikuchapwa Fimbo Mtu aje amchape Mwanangu yaani Ada nilipe na bado wamuharibu kisaikolojia Mwanangu hehehehe mbona ataiona chungu taaluma yake.
Watoto wenu ndo wanakuja kuwa mapunga, nyambaf
 
Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Huo muda wa kumbembeleza hivyo utatoka wapi? Mwalimu ana kazi ngapi halafu abaki anachezewa akili na kitoto kidogo. Huijui adha ya kukadiriwa na mtoto.
 
Hao Waalimu Makatili ni matokeo walivyofanyiwa Ukatili wakiwa Wanafunzi yaani sababu na wao walikua wakikosea wanachapwa baada ya kua waalimu wanaona kuchapa ni sahihi, na wanaosapoti adhabu za Fimbo wote background yao walilelewa kikatili kwa kupigwa na Wazazi wao na Walezi wao na Waalimu wao, Trauma inawatesa,

Adhabu zipo nyingi za kumpa Mtoto kama akikosea, anaambiwa aokote uchafu, Afyeke Majani, Asafishe Library au Laboratory, Dentetion lakini sio Fimbo,

Mimi sikuchapwa Fimbo Mtu aje amchape Mwanangu yaani Ada nilipe na bado wamuharibu kisaikolojia Mwanangu hehehehe mbona ataiona chungu taaluma yake.
Natamani niache kulinda mipaka ya nchi niingie kufundisha halafu uwalete hao wanao shuleni niwaonyeshe kazi nione utanifanyeje

Pumbaf sana

Mnalea ujinga mwishowe mnazalisha raia wapumbavu wasio watiifu kwa nchi kutwa kutupa shida.
 
Mkuu umenena vyema sana. Alafu ubaya zaidi kwa wanafunzi simu moja inaweza kutumika kuharibu mabinti zaidi ya mmja sababu huwa wanashare. Simu sio nzuri hasa kwa watoto wetu hawa wakiafrika wengi malimbukeni.
Na kinachotokea kila binti anatumia hiyo simu. Siku mmoja wa vidume akichati anapokea asiye mlengwa. Anashushiwa mistari na yeye analiwa pia.
Shule x ilipokamatwa simu iligundulika kidume kimoja kimewala wasichana 6 ambao wana share simu ya mmoja wao. Hii ni zaidi ya hatari.
 
Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.

Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.

Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.

Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.

Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.

Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.

Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.

Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.

Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.

Tupaze sauti.
Ni kweli hili jambo la walimu kutoa adhabu bila kuzingatia sheria ya adhabu wanayoitoa limekuwa janga kubwa kwenye shule na linajenga uhasama unaoweza kumfanya mwanafunzi akamchukia mwalimu mpaka kufa kwake!
Sheria ya viboko inatoa ukomo wa viboko 4 tu kwa kosa moja!
Aidha wanafunzi wa kike wanapaswa kuadhibiwa na walimu wa kike na adhabu yao kama ina ulazima wa kuchapwa vibako, basi watachapwa viboko hivyo na mwalimu wa kike mikononi na sio sehemu nyingine yoyote ile!
Zaidi ya yote Mwalimu yeyote haruhusiwi kuchapa mwanafunzi kiboko mpaka awe amepewa kibali cha idhini ya kutoa adhabu hiyo na kibali hiki huwa kinaandikwa idadi ya ukomo wa viboko ambavyo mwalimu husika atavitoa!
Kwa mantiki hii hawa walimu kama ni kweli wamefanya hiko kitendo wana kesi ya kujibu!
 
Back
Top Bottom