Afu bado unaandika kihuni,napata hasira kweliNikiwa primary darasa la nne niliwahi chezea stick zaidi ya 40 kutoka kwa mwalimu mmoja hivi bonge anaitwa Sylvia. Kisa nilikuwa napiga safa sana (natoka home ila shule sifiki).
Siku hiyo nikaja kimbizwa na wanafunzi wenzangu ambao walikuwa ndio wenye mbio shuleni wakanidaka. Tulikuwa karibu na home kwa chaliangu tunaepiga nae safa yeye aliwahi kushika panga wakaogopa kumdaka mimi nikabebwa juu juu nikaenda kuchezea stick shazi.
Rudia kusoma reply zako huko juu.Wapi nimesema hivyo?
Wewe hukuchapwa zaidi ya fimbo 3??Sema tu wanafunzi wengi ni wajinga wa sheria. Ila ningekuwa ni mimi nipo shule nisingechapwa fimbo zaidi ya 3. Wanafunzi wanaonewa kwa sababu ya kutojua sheria na haki zao. Cha kushangaza hata walimu wenyewe hawajui kuwa sheria inataka mwanafunzi mwisho kuchapwa fimbo 3, laiti wangekuwa wanajua wasingekuwa wanachaoa fimbo nyingi.
Hakua na simuHuna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Dah asee hapo mbona sijaandika kihuni ni lugha ilionyooka kabisa.Afu bado unaandika kihuni,napata hasira kweli
Yes. Nilipofika home maza alipoona hali yangu akanistopisha akafatilia uhamisho nikahama skuli. Nilikula raha home maana ilikuwa karibu na likizo so nikaunganisha ile kufungua nikafungulia shule mpya.Vipi, uliendelea na shule?
Wee,usiniambie 😳Dah asee hapo mbona sijaandika kihuni ni lugha ilionyooka kabisa.
Hapo kweli ningeandika kingaleloo usingeelewa kitu ungeona maneno machache unayoyafahamu.Wee,usiniambie 😳
waalimu kama nye si huwa tunawang'oa meno mtaani na kipondo juuHuna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Mbona wewe na ukakamavu wako wote lakini marinda huna,Watoto wenu ndo wanakuja kuwa mapunga, nyambaf
Yaani kanikera huyo mshenzi,Ah kwenda zako huko askari kanzu wewe!
Unajitia una uchungu na nchi kumbe hasira za mshahara duni.
Hauwajibiki kwa yeyote. Acha kiherehere.
Zaa wa kwako umpige mateke. Na ukimpiga tunakukamata kukuadabisha pia.
Eti we have our own court,Kwenda zako mbuzi asie na mkia
Una nini Cha kunifanya wewe?
We have our own court
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti we have our own court,
Kumbe ni lichizi hili nikadhani lina akili japo kiduchu,
Kubwa jinga linakimbilia we have our own court kwa hiyo unajua kua ni kosa na mahakamani utapelekwa,
Jaribu kumuumiza Mtoto yoyote halafu uone hiyo 'our own court' itakavyofanya kazi.
Mpige hahahAfu bado unaandika kihuni,napata hasira kweli
Mh bora kwetu huko kwa wenzetu ulaya mtoto wa kike anavuliwa skirt na chupi anabaki makalio waz ndo anashushiwa viboko vya uhakakiaSoma maelezo tena mkuu,,
Afrika ukatili umepitiliza,,huwa najaribu sana kuwatetea walimu especially kwenye ishu ya salary,,, however, kwa kitendo hichi cha kumpiga mwanafunzi wa kike, isitoshe matakoni!!!, hapana aise. mwanamke hapigwi matakoni, ni kumdhalilisha, wajifunze shule za kiislamu, zina maadili hawana upumbavu kama shule za upande wa pili.
Ulaya wanachpwa vibaya mno usimpeleke mtoto wako huko kama hup3nd achapweKuchapa wanafunzi ni mojawapo ya utamaduni wa hovyo sana uliobaki kwetu Waafrika.