kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Uelewa wa waafrica ni uleule wote ni vilaza tuKuuliza hivi tu inatosha kunipa ishara kuhusu uelewa wako
Kosa lake ni kuleta Mada ambayo haikupaswa kuletwa humu,Alitakiwa akusanye zawadi na kuwapelekea hao walimu.This Is the home of Great thinkers not otherwiseKosa la mtoa mada ni lipi?
Nikikuita an ASSHOLE ntakosea gay?Fuatilia waalimu akili zao. Zinafananafanana. Halafu huwa wapumbavupumbavu sana.
Mimi sikubaliani na adhabu ya fimbo kama ndio njia ya kutatua tatizo,mbona international school hawana huo ukiritimba na wanafanya poa zaidi ya wanaochapwa viboko 20+Kosa lake ni kuleta Mada ambayo haikupaswa kuletwa humu,Alitakiwa akusanye zawadi na kuwapelekea hao walimu.This Is the home of Great thinkers not otherwise
Unafananisha wanafunzi wa International na hawa wa kayumba?Una safari ndefu sana kujikomboa kifikra.Pole sana broMimi sikubaliani na adhabu ya fimbo kama ndio njia ya kutatua tatizo,mbona international school hawana huo ukiritimba na wanafanya poa zaidi ya wanaochapwa viboko 20+
Mkuu umenena vyema sana. Alafu ubaya zaidi kwa wanafunzi simu moja inaweza kutumika kuharibu mabinti zaidi ya mmja sababu huwa wanashare. Simu sio nzuri hasa kwa watoto wetu hawa wakiafrika wengi malimbukeni.Mbona uko upande wa mwanafunzi zaidi?
Kila kinachosemwa na walimu wake wewe unasema ni uongo kwani wewe ni nani yake??
Hadi wanafunzi waliotoa ushahidi unasema wamelazimishwa na walimu, we umejuaje? hao wanafunzi si ndio wanakaa muda mrefu na huyo mwanafunzi!?
Mboko 20 chache sana, hizo simu zinaharibu sana mabinti, tena zinawapa viburi zaidi. Huko kwenye simu wanavimbishwa mabichwa na viboyfriend uchwara wamlambe bakora zaidi mpaka aseme ni nani huwa anawasiliana nae humo simuni.
Ona hata kuunda sentensi yenye kueleweka huwezi!?? Ukitaka kutukana basi tukana ueleweke.Nikikuita an ASSHOLE ntakosea gay?
Tena hao Walimu ni wastaarabu sana.Mimi ningekuwa mmoja wao ningempeleka laboratory, nikashusha mapazia kisha 'nikampiga nao' kabisa. Sipendi ujinga!Walimu huwa ni wapumbavu sana. Huwa wana mon psychology
Kabisa mkuu, kama unalea mtoto wa kike alie sekondari ndio unaweza elewa ubaya wa simu kwa hawa mabinti.Mkuu umenena vyema sana. Alafu ubaya zaidi kwa wanafunzi simu moja inaweza kutumika kuharibu mabinti zaidi ya mmja sababu huwa wanashare. Simu sio nzuri hasa kwa watoto wetu hawa wakiafrika wengi malimbukeni.
Wewe unawafahamu vizuri watoto wa shule. Mtoto anaishi mjini nyumbani hakuna shamba wala bustani unadhani ataweza kulima shuleni? Kama ataweza lawama za walimu kuwatesa watoto muda wa masomo ndio itakuwa habari ya mwanzo gazetini. Pia watoto wengi wanapenda kazi za nje ama wanasaidiana mwalimu akiondoka. Yaani unataka kumpa mwalimu ahakikishe amemaliza adhabu mwanafunzi bila kusaidiwa? Walimu wana mambo mengi ya kufanya. Adhabu inatakiwa kutolewa wakati tendo linafanyika na sio vinginevyo.Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.