Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach.
Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.
Boaz Sanga Alikuwa Mwanafunzi Anayesoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)
Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.
Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.
Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni
Taarifa iliyochapishwa leo na akaunti ya mtandao wa Instagram ya chuo hicho @sautv_ imeeleza kuwa, Sanga alikuwa mwanafunzi wa kitivo cha Elimu SAUT.
“Taarifa za awali zilizotelewa, zoezi la kumtafuta lilianza jana usiku bila mafanikio,” imeeleza taarifa hiyo.
Akielezea namna mchakato wa uokoaji ulivyofanikiwa, Kamanda Zimamoto na Uokoaji jijini Mwanza, Kamila Laban amesema maaskari wabobezi wa uzamiaji wa jijini humo walipata mwili wa Sanga katika ukiwa umekwama katika mapango ya ziwa hilo.
Chanzo:Taarifa Na ME
Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.
Boaz Sanga Alikuwa Mwanafunzi Anayesoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)
Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.
Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.
Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni
Taarifa iliyochapishwa leo na akaunti ya mtandao wa Instagram ya chuo hicho @sautv_ imeeleza kuwa, Sanga alikuwa mwanafunzi wa kitivo cha Elimu SAUT.
“Taarifa za awali zilizotelewa, zoezi la kumtafuta lilianza jana usiku bila mafanikio,” imeeleza taarifa hiyo.
Akielezea namna mchakato wa uokoaji ulivyofanikiwa, Kamanda Zimamoto na Uokoaji jijini Mwanza, Kamila Laban amesema maaskari wabobezi wa uzamiaji wa jijini humo walipata mwili wa Sanga katika ukiwa umekwama katika mapango ya ziwa hilo.
Chanzo:Taarifa Na ME