Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kwanza, mimi sijauliza maswali wewe poyoyo. Nimeuliza swali moja tu.Unauliza maswali ya hovyo sana
Pili, hilo swali si la hovyo. Bali wewe ndiye mpuuzi ukashindwa kuelewa mantiki ya swali langu.
Ajali humpata mtu popote. Na hakwenda pale kwa nia ya kufa. Alienda kufurahia, isivyo bahati akapoteza maisha.
Hakuna mtu afuataye ajali ama kifo. Bali humkuta tu pasipo kutaraji.