Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Mwaka gani alizamaKuna kijana wa mwalimu Budigila wa Nsumba akati anasoma fisheries naye alizama humo humo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka gani alizamaKuna kijana wa mwalimu Budigila wa Nsumba akati anasoma fisheries naye alizama humo humo.
Apumzike kwa amaniMwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach.
Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.
Mwanafunzi Aliyefariki Anasoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)
Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.
Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.
Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni
Chanzo:Taarifa Na ME
Tarehe ikifika hata angekaa ndani,Lori lingegonga nyumba 😭Alishindwa kutulia hostel au ghetto kwake? Hao wenzake walishindwa vipi kumuokoa akiwa anapigania uhai wake?
Mambo mengine mbona yanaepukika kabisa!! Polee kwa wafiwa.
Rip dear!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani ziwa Victoria maji yake yalivyo kama matope naliogopa sana....Hiyo Beach(Ufukwe) inabaki kwenye kumbukumbu zangu kwa muda mrefu sana.
Tulipoteza mwenzetu hapo tukiwa kidato cha 3 na hatukumpata hadi leo hii.
Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswaliAlishindwa kutulia hostel au ghetto kwake? Hao wenzake walishindwa vipi kumuokoa akiwa anapigania uhai wake?
Mambo mengine mbona yanaepukika kabisa!! Polee kwa wafiwa.
Rip dear!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Duuh bas hayaTarehe ikifika hata angekaa ndani,Lori lingegonga nyumba [emoji24]
Basi hayaa!!Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali
Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
🤣🤣🤣🤣 UwiiiBasi hayaa!!
Kwanini ule pekeyako?Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali
Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
Unauliza maswali ya hovyo sanaKwa hiyo angebaki Hostel ndiyo asingekufa?
Maji mbona mazuri(Pure water) si kama Mwambao wa Bahari ya Hindi.Yaani ziwa Victoria maji yake yalivyo kama matope naliogopa sana....
Mmmh labda,nilibahatika kukaa kwenye baadhi ya fukwe mmh Kwa kweli nilipata hofu tuMaji mbona mazuri(Pure water) si kama Mwambao wa Bahari ya Hindi.
Labda kuna baadhi ya sehemu kulingana na shughuli za pembeni ndio zinaweza kufanya huo muonekano wa maji
kafaraa hioooMwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach.
Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.
Mwanafunzi Aliyefariki Anasoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)
Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.
Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.
Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni
Chanzo:Taarifa Na ME
Tonge likwame kooni, hiyo ngumi ya mgongoni ya KAZI Gani🤔Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali
Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
Hapo ilikuwa kwenye huo ufukwe uliobahatika kuutembelea.Mmmh labda,nilibahatika kukaa kwenye baadhi ya fukwe mmh Kwa kweli nilipata hofu tu
Hayo Maeneo ni Hatari sanaKuna kijana wa mwalimu Budigila wa Nsumba akati anasoma fisheries naye alizama humo humo.