TANZIA Mwanafunzi SAUT afariki akiwa ameenda kuogelea ziwani

TANZIA Mwanafunzi SAUT afariki akiwa ameenda kuogelea ziwani

Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach.

Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.

Mwanafunzi Aliyefariki Anasoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)

Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.

Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.

Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni

Chanzo:Taarifa Na ME
Apumzike kwa amani
 
Alishindwa kutulia hostel au ghetto kwake? Hao wenzake walishindwa vipi kumuokoa akiwa anapigania uhai wake?

Mambo mengine mbona yanaepukika kabisa!! Polee kwa wafiwa.

Rip dear!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Tarehe ikifika hata angekaa ndani,Lori lingegonga nyumba 😭
 
Alishindwa kutulia hostel au ghetto kwake? Hao wenzake walishindwa vipi kumuokoa akiwa anapigania uhai wake?

Mambo mengine mbona yanaepukika kabisa!! Polee kwa wafiwa.

Rip dear!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali

Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
 
Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali

Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
Basi hayaa!!
 
Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali

Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
Kwanini ule pekeyako?
 
Itakuwa ujuaji na kutaka ujiko kwa wenzie likely walikuwa na mademu zao.

Kama hujui kuogelea unaendaje kina kirefu?
 
Maji mbona mazuri(Pure water) si kama Mwambao wa Bahari ya Hindi.

Labda kuna baadhi ya sehemu kulingana na shughuli za pembeni ndio zinaweza kufanya huo muonekano wa maji
Mmmh labda,nilibahatika kukaa kwenye baadhi ya fukwe mmh Kwa kweli nilipata hofu tu
 
Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach.

Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea Jana Siku ya Mei Mosi Ambako Wanafunzi walikuwa Hawana vipindi Madarasani.

Mwanafunzi Aliyefariki Anasoma Shahada ya Kwanza katika Fani ya Ualimu Kwa Mwaka wa Kwanza (BAED 01)

Katika Hatua Nyingine Mwili wake Ulitolewa Ziwani Leo Na Jeshi La Uokoaji Kanda Ya Mwanza Mara Baada ya Jana Kuzama na Kushindwa kupatikana kutoka Na sababu Zilikuwa kuwa Nje ya Uwezo.

Baadhi ya Wakazi katika Maeneo ya Sweya Wanasema Kuwa Imekuwa Ni Desturi kwa Wanafunzi wanao Soma SAUT kuja Kuogelea Katoka Hayo Maeneo kipindi wawapo masomoni Wakirejelea Kipindi Cha Mapumziko Ama Siku za Mwisho wa juma (Week end) huwa kuna Idadi kubwa ya Wanafunzi.

Vile vile Wanasema Wanafunzi wengi hupendelea kuja Kupiga Picha Na Kukaa Nyakati za Jioni

Chanzo:Taarifa Na ME
kafaraa hiooo
 
Umepumzika zako mwenyewe nyumbani, Unakula zako ugali na nyama saa unameza tonge chafya inakuja, unataka kupiga chafya tonge na nyama vinakupalia na kukwama kooni, chafya haitoki, kupaliwa si kupaliwa, kukabwa si kukabwa, hakuna mtu wa kukupiga ngumi ya mgongo, maji huna, unakosa hewa unakufa halafu anatokea mtu kama wewe anauliza maswali

Alikuwa anakula ugali kwanini? Alikosa mtu wa kula nae ugali? Mambo mengine mbona yanaepukila kabisa?
Tonge likwame kooni, hiyo ngumi ya mgongoni ya KAZI Gani🤔
 
Mmmh labda,nilibahatika kukaa kwenye baadhi ya fukwe mmh Kwa kweli nilipata hofu tu
Hapo ilikuwa kwenye huo ufukwe uliobahatika kuutembelea.

Ufukwe kama huu alipofia huyu Mwanafunzi ni mzuri sana, maji masafi. Pia fukwe nyingi tu nilizowahi kuzitembelea zipo njema
 
Back
Top Bottom