TANZIA Mwanafunzi SAUT afariki akiwa ameenda kuogelea ziwani

angeenda fisheries buku tatu tu kuliko kweny ziwani maji ya baridi mazito alaf yanakumaliza chap tu
 
Duuuh inaumiza sanaa!! Nilishataka kufa na maji.
Naheshimu sana vyanzo vya maji yanayotiririka.
Ulishataka kufa na majI? Yan uliamua kufa ukahairisha?
 
Kuwa Makini Sana kama huna uzoefu na jambo Fulani. Usione haya kuwa hujui na huna mpango wa kulitekeleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…