Siwachukii Ata mzee Leo! Ata maandiko yanasema mtoto usimunyime mapigo
Nafikiri namna tulivyojishape sisi wenyewe hivi ulishawah kwenda kwenye Familia za vile vitoto vinaoitwa junior au shebby badala ya shaban?Hayo maandiko yameanzia huko kwa mabeberu mbona hawachapi watoto wao?
Ndio maana umekuwa na matako ya kiumeBaba tulikuwa tunapigwa fimbo 30 miaka hiyo mpaka Tako linakauka kwa kukosa mzunguko wa damu!
Ila Huyu wa kupigwa Sita huenda alikuwa na ugonjwa
😂😂Somanda pale shulen mwakajuzi wanafunzi waliliwa nafis. somanda pa kiwaki sana pale kunamtaa upo kwa nyuma ya hospital kule ni balaa wanawanga hatar kunadogo alijenga ila kaikimbia nyumbaNimekaa somanda mkuu Yani kipindi hicho nikilala tu sasita mchana especially nikiwa nimelala chali naota nadinyana na mwanamke hadi napiz Sasa najiuliza hizo friction zilitoka wapi
M23😔Nako kayumba kuna m23 Nyingi sana!
Ile shule ya bariadi seco sio?😂😂Somanda pale shulen mwakajuzi wanafunzi waliliwa nafis. somanda pa kiwaki sana pale kunamtaa upo kwa nyuma ya hospital kule ni balaa wanawanga hatar kunadogo alijenga ila kaikimbia nyumba
AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10
Unakuta mwl kanyimwa unyumba na MWENZA wake anaishia kumalizia maumivu yake kwa wanafunzi n shida sana sanaaaa
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk
Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule
Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka
Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea
MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework
AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10
HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi
BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu
Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo
HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa
Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah
Primary inatizamana na hospital ya somand, kwenye mamiti. seco angalau wanakafensi kamchongo kanawasaiidiaIle shule ya bariadi seco sio?
Walee maafisa washenzi mkuu ndio wanatakiwa wawe. Washtakiwa wakwanza kwenye haya mauwajiKila siku tunawambia achana na watoto wa watu hamsikii.
Afisa taaluma anakwambia nataka ufaulu asilimia mia ,likikukuta jambo yeye anakaa pembeni
ndio nyumbani nini mbona unapiga ukungaPole kwa wazazi jamani na hata mwalimu uwiii tena simiyu huko😓