Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Nimejaribu kuangalia gesture za huyu bint. Mh Na ujasiri anao tena mkubwa ila kazi anayo.Hiyo Ndio field lakini.
Field wengi wanadanganyika sana, kuna mmoja tukiwa chuo alikuwa anatamba kutoka na boss huko field akiringishia na sms alizokuwa akiambiwa akimaliza chuo tayari anayo ajira. Tukawa tunamzoom tu na kumsikitikia, kaja kumaliza chuo hadi navoandika sasa yupo mtaani ni jobless. Hii ni wazi kuwa ndio michezo ya huko maofisini.
 
Kumbe nao malecture kama wazee wa humu jf nao hovyo sana.

Sasa kwa stage aliyopo yeye ni ya kula mwanafunzi kweli kwa ajili ya kumjazia assignment..

Malecture nao hovyo sana pmbv zao hawa na hii ngoja nifatilie isije kuwa binti kila semister anakuja na matokeo mazri nafurahia kumbe huku chini hamna kazi.

Mkuu asante kwa kunisanua
Shukrani mkuu 🙏🏽🙏🏽
 
Field wengi wanadanganyika sana, kuna mmoja tukiwa chuo alikuwa anatamba kutoka na boss huko field akiringishia na sms alizokuwa akiambiwa akimaliza chuo tayari anayo ajira. Tukawa tunamzoom tu na kumsikitikia, kaja kumaliza chuo hadi navoandika sasa yupo mtaani ni jobless. Hii ni wazi kuwa ndio michezo ya huko maofisini.
Ndio dunia halisi ilivyo wala sio jambo geni la kupiga kerere sana.
Atapata filed kwa shida kweli huyo.
 
Babu shikamoo.

Nadhani wameona busara za wazee.

Tangu utoke ofisini miaka hiyo wakizaliwa mabinti wanaosumbuliwa na hii changamoto kuna hili la wao kuombwa rushwa ya ngono. Ushauri wako n upi, nini kifanyike kukomesha au kupunguza hali hii?
Marahaba Mkuu 🙏

Kwa mujibu wa Sheria, kutoa ama kupokea Rushwa ni kosa kisheria. Rushwa ya ngono ni miongoni mwa aina mbalimbali za Rushwa tulizonazo kwenye jamii zetu.

Kwahiyo suala la mabinti kuombwa Rushwa ya ngono, ni kosa kisheria hivyo ni wito wangu Kwa mabinti wote wanaoombwa ngono huko maofisini ili kupewa huduma ni vyema wakaripoti tukio hilo ili hao waharifu waweze kukamatwa na kupelekwa Mahakamani.

Sisi Wazee tunawaheshimu hao mabinti as Kwa umri wanaweza kuwa sawa na umri wa mabinti zetu huko nyumbani.

Endeleeni kuwa na imani na Wazee 🤗
 
Marahaba Mkuu 🙏

Kwa mujibu wa Sheria, kutoa ama kupokea Rushwa ni kosa kisheria. Rushwa ya ngono ni miongoni mwa aina mbalimbali za Rushwa tulizonazo kwenye jamii zetu.

Kwahiyo suala la mabinti kuombwa Rushwa ya ngono, ni kosa kisheria hivyo ni wito wangu Kwa mabinti wote wanaoombwa ngono huko maofisini ili kupewa huduma ni vyema wakaripoti tukio hilo ili hao waharifu waweze kukamatwa na kupelekwa Mahakamani.

Sisi Wazee tunawaheshimu hao mabinti as Kwa umri wanaweza kuwa sawa na umri wa mabinti zetu huko nyumbani.

Endeleeni kuwa na imani na Wazee 🤗
Mabinti wafuate ushauri wako kupambana na rushwa ya ngono maofisini.

Imani na wazee bado ipo japo mashambulizi ni makali sana.
 
Tamaa ni pande zote tu hakuna utetezi hata huko serikalini tumeshuhudia watu wakiwapa uDC na uRC vimada wao achilia mbali kwenye bodi mbalimbali.

Tatizo limeanzia mbali tusikate shina tukaacha mizizi .

Meritocracy haipo tena ndio maana mtu kama Baba Levo kwenye media akienda atasikilizwa ila akienda Professor Janabi wanasema anawatisha .
 
Imani na wazee bado ipo japo mashambulizi ni makali sana.
Hayo mashambulizi Kwa Wazee yametoka Kwa Vijana tu nahisi

Mabinti hawataki kukamiwa kunako baada ya kupewa kifuta Jasho cha eti 30k

Wakati Wazee tupo hapa tunatoa Posho ya 120k lakini tunapiga kimoja tu cha Afya cha sekunde 15 😜🤗
 
Hili jambo liangaliwe kwa jicho Pana na kuna haja ya Wizara mbali mbali Kuteam up ili kutengeneza muongozo wa namna nzuri nafasi za field zinawezwa kugawanywa kwa wanafunzi wanaohitaji, kuliko hili la kuachia watu wakajitafutie huu ndio Mwanzo wa matatizo haya
Muongozo upo tayari tena documented kabisa chini ya.ofisi ya waziri Mkuu. Sio watu wa field tu hadi interns nao kuna muongozo na kanuni zake.

Tatizo.watu.hawana taarifa na pia wahusika hawasimamii hiyo miongozo.

Ila pia vijana tutafute taarifa za kiutawala mtandaoni sio tu kutaka kujua Diamond ana date na nani.
 
Hayo mashambulizi Kwa Wazee yametoka Kwa Vijana tu nahisi

Mabinti hawataki kukamiwa kunako baada ya kupewa kifuta Jasho cha eti 30k

Wakati Wazee tupo hapa tunatoa Posho ya 120k lakini tunapiga kimoja tu cha Afya cha sekunde 15 😜🤗
😂 wakitoka hapo hiyo 120k anatafuta kijana anampa 20K anaongeza dakika pale mzee alipoishia.
 
Back
Top Bottom