Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #301
Field wengi wanadanganyika sana, kuna mmoja tukiwa chuo alikuwa anatamba kutoka na boss huko field akiringishia na sms alizokuwa akiambiwa akimaliza chuo tayari anayo ajira. Tukawa tunamzoom tu na kumsikitikia, kaja kumaliza chuo hadi navoandika sasa yupo mtaani ni jobless. Hii ni wazi kuwa ndio michezo ya huko maofisini.Nimejaribu kuangalia gesture za huyu bint. Mh Na ujasiri anao tena mkubwa ila kazi anayo.Hiyo Ndio field lakini.
Nitakie mema,shemeji yako yuko humu.Hukuchangamkia fursa?
Ndo tabia zao kwa sasa, plus zile suruali zao zile π€―π€―Na wanajua wapo moto kuna muda wanafanya makusudi.
Shukrani mkuu ππ½ππ½Kumbe nao malecture kama wazee wa humu jf nao hovyo sana.
Sasa kwa stage aliyopo yeye ni ya kula mwanafunzi kweli kwa ajili ya kumjazia assignment..
Malecture nao hovyo sana pmbv zao hawa na hii ngoja nifatilie isije kuwa binti kila semister anakuja na matokeo mazri nafurahia kumbe huku chini hamna kazi.
Mkuu asante kwa kunisanua
Kwa kauli hiyo nishaelewa.πNitakie mema,shemeji yako yuko humu.
π€£
Zile kama zinang'aa fulani zinabana juu zinaachia chini.Ndo tabia zao kwa sasa, plus zile suruali zao zile π€―π€―
Naaaaaaam naaaaaam!Kwa kauli hiyo nishaelewa.π
Ndio dunia halisi ilivyo wala sio jambo geni la kupiga kerere sana.Field wengi wanadanganyika sana, kuna mmoja tukiwa chuo alikuwa anatamba kutoka na boss huko field akiringishia na sms alizokuwa akiambiwa akimaliza chuo tayari anayo ajira. Tukawa tunamzoom tu na kumsikitikia, kaja kumaliza chuo hadi navoandika sasa yupo mtaani ni jobless. Hii ni wazi kuwa ndio michezo ya huko maofisini.
Marahaba Mkuu πBabu shikamoo.
Nadhani wameona busara za wazee.
Tangu utoke ofisini miaka hiyo wakizaliwa mabinti wanaosumbuliwa na hii changamoto kuna hili la wao kuombwa rushwa ya ngono. Ushauri wako n upi, nini kifanyike kukomesha au kupunguza hali hii?
Mabinti wafuate ushauri wako kupambana na rushwa ya ngono maofisini.Marahaba Mkuu π
Kwa mujibu wa Sheria, kutoa ama kupokea Rushwa ni kosa kisheria. Rushwa ya ngono ni miongoni mwa aina mbalimbali za Rushwa tulizonazo kwenye jamii zetu.
Kwahiyo suala la mabinti kuombwa Rushwa ya ngono, ni kosa kisheria hivyo ni wito wangu Kwa mabinti wote wanaoombwa ngono huko maofisini ili kupewa huduma ni vyema wakaripoti tukio hilo ili hao waharifu waweze kukamatwa na kupelekwa Mahakamani.
Sisi Wazee tunawaheshimu hao mabinti as Kwa umri wanaweza kuwa sawa na umri wa mabinti zetu huko nyumbani.
Endeleeni kuwa na imani na Wazee π€
Kuna nyanja wanawake wanapitia changamoto sana hasa hiyo ya ajira.Ndio dunia halisi ilivyo wala sio jambo geni la kupiga kerere sana.
Atapata filed kwa shida kweli huyo.
Usiwatetee Mkuu wanageuza na kupewa upendeleo kila sehem kiasi kwamba mtoto wa kiume hana nafasi ya kutazamwa tena.Kuna nyanja wanawake wanapitia changamoto sana hasa hiyo ya ajira.
Sana mkuu, hawa watu wanachukua advantage kwa wanaohitajiIngewezekana kufanyika hivyo ingekuwa vizuri.
Hayo mashambulizi Kwa Wazee yametoka Kwa Vijana tu nahisiImani na wazee bado ipo japo mashambulizi ni makali sana.
Muongozo upo tayari tena documented kabisa chini ya.ofisi ya waziri Mkuu. Sio watu wa field tu hadi interns nao kuna muongozo na kanuni zake.Hili jambo liangaliwe kwa jicho Pana na kuna haja ya Wizara mbali mbali Kuteam up ili kutengeneza muongozo wa namna nzuri nafasi za field zinawezwa kugawanywa kwa wanafunzi wanaohitaji, kuliko hili la kuachia watu wakajitafutie huu ndio Mwanzo wa matatizo haya
π wakitoka hapo hiyo 120k anatafuta kijana anampa 20K anaongeza dakika pale mzee alipoishia.Hayo mashambulizi Kwa Wazee yametoka Kwa Vijana tu nahisi
Mabinti hawataki kukamiwa kunako baada ya kupewa kifuta Jasho cha eti 30k
Wakati Wazee tupo hapa tunatoa Posho ya 120k lakini tunapiga kimoja tu cha Afya cha sekunde 15 ππ€
ndo ulete nasubiri ivooFanya nikuletee sasa
mnatakwa ili mpate nini?kwahiyo nasisi vijana tunaotakwa na mishangazi tukashitaki wapi...?