Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Waru wame invest wamepambana sana
 
Ni hovyo sana mkuu, wazee wa jf waliangalie hili linawashushia heshima yao.

Ila pia mabinti wa 2000 nao wajiheshimu, wanapenda wazee sana kwa sababu ya kuzingatia maokoto.
HAPANA ushawahi sikia binti anamfata mzee..?
Mi nadra sana ila mzee ndo anamfata binti huku akijua fimbo yake ni pesa.

Hovyo sana waache ufataki ifikie mahala wajiheshimu.

Hovyo kabisa
 
Hapa sina la kusema maana hasira niliyo nayo naweza piga mtu huku nilipo..
 
HAPANA ushawahi sikia binti anamfata mzee..?
Mi nadra sana ila mzee ndo anamfata binti huku akijua fimbo yake ni pesa.

Hovyo sana waache ufataki ifikie mahala wajiheshimu.

Hovyo kabisa
Mkuu labda kama hujawai kuwa na ukaribu na hawa mabinti, wanajilengesha kuna mazingira wanatengeneza ili mzee ajisogeze, na akishajisogeza ni kumpiga pesa tu.

Ila wanaume sisi ni hatari sana, kuna mzee yupo chini zaidi ya miaka 5+ kaparalaizi hawezi hata nyanyua mguu lakini bado anatongoza na kuhonga na mzigo anataka, niliambiwa nikashangaa sana 😂
 
Mkuu sio mimi bwana ila najaribu kuwakilisha wakali wa hizi kazi. Unajua kuwa ngono ni starehe cheap kwa maskini kuliko hata ulevi? Na kuna namna kama 100 hivi za kupata hio starehe. Ofisini ni moja ya eneo tu watu wanachapana miti kirahisi.
Mkuu sikatai watu wachapane miti wanavotaka.

Ila kwanini wazee wawe chanzo cha mambo ya ajabu ajabu kwa sasa.

Kuna uzi furani wa ukimwi walitoa takwimu wazee ndo wanaongoza kuambukiza.

Hawa wazee ni hovyo sana inabidi sasa tu deal nao perpendicular wanakera mno
 
Mkuu labda kama hujawai kuwa na ukaribu na hawa mabinti, wanajilengesha kuna mazingira wanatengeneza ili mzee ajisogeze, na akishajisogeza ni kumpiga pesa tu.
Wazee wana shida mkuu.
Unapiga mtoto ambaye umri anaendana na mwanao WTF.

Mkuu uchawi sio mtu mpaka aroge au avue nguo awange. Hata haya mambo wanayofanya wazee hasa wa humu jf nao ni uchawi
 
Hata Chalamila alikuwa Lecturer wa Ruaha University kabla hajakuwa RC Mbeya. Naye amewachezea sana wanachuo kwa maksi za chupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…