Mwanafunzi wa Kidato cha Tano aolewa kwa Tsh. 30,000 DC Mtatiro aingilia kati na kuvunja ndoa

ok, sawa. Aliyekuwa anamuo hakujua kuwa ni mwanafunzi? Nchi hii wanafunzi hawaolewi hata kama tayari wana uwezo wa kuhimili maisha ya unyumba
Mwanafunzi ni nani kisheria

Ukimaliza form IV, form IV au au la saba ukawa mtaani we bado mwanafunzi ?
 
Halafu hawa wapumbavu wanatumia mabilioni kuhimiza ushoga na ufirauni.
 
Watu wanaongea tu kwa sababu sio mtoto/ndugu yao.Nyie mnaona huyo binti kuozeshwa huo umri ni sawa?ilhali angesoma na kuja kuondoa umasikini huko kwao.Embu acheni akili za kijinga DC Mtatiro yupo sawa na apewe maua yake!Kwa sasa wazazi wataona kama wamekosewa lkn baadae binti akija kupiga hatua watafuraji
 
Kuyajua hayo mambo na viungo kuwa tayari si utashi wa mtu kuwa tayari kushiriki mambo hayo. Hukuona hapo akikataa kusoma, ndio maana wengine wote wako matatani.
 
Mijitu mijinga sana, huyo anayesema hivyo hawamezi ruhusu Binti yake afanyiwe hivyo, watu sijui wakoje.
 
SIASA TU...HAKUNA NIA NJEMA YA HILI...WAPO TAYARI MABINT WALIWE KWA ZINAA MITAANI LAKINI SIO KUOLEWA...AKILI ZA SHEITWANI HIZI.
Ondo upuuzi wako hapa,
Vitoto vya sikuhizi kipo primary la nne kinaliwa, kwahio naye mlaji akitaka kuoa ndio aoe ili kuepusha zinaa?

Wewe mwanao upo tayari kukatisha masomo YA SEKONDARI kisa anaolewa?
Sishangai ndio maana mzee baba alioa katoto ka miaka 9 eti kisa ndoa.
Rubish kabisa.
 
Vibinti huko wanayajua mambo wakiwa wadogo

Ova
 
Mwanafunzi ni nani kisheria

Ukimaliza form IV, form IV au au la saba ukawa mtaani we bado mwanafunzi ?
Ukimaliza madarasa tajwa hapo juu wewe bado ni mwanafunzi mpaka matokeo(hitimisho la kile kilichokupekeka shule) yatoke ndio yataamua, ikatokea amefeli kesi ya uwanafunzi haipo, inakurudia ya Umri kama bado ni under 18.

Hata ukimaliza VI bado ni mwanafunzi ila katika kundi la mwanafuzi anayedhaniwa anajitambua anayeweza kufanya maamuzi yake mwenyewe.
 
Wanaoa au kula wanafunzi akili zao huwa haziko sawa, wengine hutupiwa kimbola na kupigwa zongo. Unakuta mwalimu mkuu kamkandamiza mwanafunzi wake mpaka kampa mimba inashangaza sana. Huo mchezo wafanyiane wanafunzi kwa wanafunzi watajuana wenyewe kama walikuwa wanawakwa tamaa za miili yao wakaamua kujaribu kujionjea mpiko. Mtu mzima ni aibu na fedheha
 
Baada ya miaka 8 atarudi humu kutafuta mchumba wakati Muuza urembo akila ugali wa serikali.
 
Dah! Mzigo unaenda kuwaangukia walimu. Imagine unafundisha wake za watu, halafu unatakiwa uwafaulishe kwa namna yoyote ile.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…