Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,214
mtoa mada amefanikiwa kutujuza kuwa yy n kiongoz daruso, hilo mosi kafanikiwa. pili kafanikiwa kuueleza umma wa GT kuwa alishuhudia tukio zima hvo n shuhuda tho kazngua sana msaada watu huwa hatuhesabu na kisasi sio njia sahihi ya kukabiliana na matatzo, kama ulvosema umakin wakat wa usiku wahitajka sana ukzngatia weng macho yetu n mabovu hupenda kutuaminisha kuwa gar zapo mbali sana kumbe si hvoooo....
tuwen makin wakat tunavuka barabara wakuuuu
tuwen makin wakat tunavuka barabara wakuuuu