Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Jaman wale clinical. Officer nnaswali kwenye course ya nutrition
Swali ni hili give catch up diet for rapid growth
 
Kwa mbali niulize mambo ya anatomy and physiology, medical surgical nursing na pharmacology. Siko deep sana

Pia mambo ya computer modeling, texturing, animation nakadhalika nahisi nitapata msaada🙏🙏
 
humu wote siasa na history.
sln
y+180-3y +180-3y=180
y+(180-3y)2=180
y+360-6y=180
y-6y=180-360
-5y=-180
-5y/-5=-180/-5
y=36
. ' .y=36.

Bab d unavyonekana we mbishi mkuu harakati sana wazee wa namba utawajua tuu
 
njoo arusha na mm nije sumbawanga, rukwa au mbeya. idara sec 0755204636.


njoo arusha na mm nije tanga au morogoro idara sec. 0755707867.
 
njoo arusha na mm nije morogoro, sumbawanga au rukwa. idara sec 0755204636
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.

SWALI: Kuna aina ngapi za uhawilishaj wa mafunzo na ni zipi?
 
Kwani anaye somea nursing inampasa asome vipengele vp????

ni mengi eg: anatomy and physiology, IPC(infection , prevention and control) hii inakwenda na microbiology, pia kuna computer, nursing ethics, communication skills, hayo ndio wanaanza nayo...
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.

Swal Lang Ni La History Lna State Kwamba Due To The Coming Of European In Africa They Brought A Negative Impacts In Africa Justify This Statement
 
Back
Top Bottom