Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafika wakati, bashite sijui anajisikiajeAisee Ngosha alikuwa na roho mbayaa Sana, hivi kwanini MO dewji nae haelezei kilichomkutaga kipindi kile
Wabongo wengi hawajui kuongea kiswahili vizuri. Wanaongea lugha za makabila yao kwanza kwa mfano wasukuma, wachaga, wamasai, n.k.Huyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Sasa michuki yako si utakufanya ufe,Nitamchukia daima mwendazake kwa udhalimu aliowafanyia mamia ya watu wasio na hatia
....na uovu piaAisee Ngosha alikuwa na roho mbayaa Sana, hivi kwanini MO dewji nae haelezei kilichomkutaga kipindi kile
Wewe mkaldayo thibitisha kwa DNA kama sivyo ni porojo zako jamviniHuyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Mlaumu mzazi wako ambae ajakupeleka shule dadaHuyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Huyu ni mwanahabari wa luga ya kiswahili mbobezi mtanzania na aliekuwa akisikika duniani kote, kwa hivyo katika mahojiano yake katumia kiswahili sanifu wanaoweza kukisikia wasikilizaji wa DRC CONGO, BURUNDI, RWANDA, MALAWI, KENYA, COMORO, somalia nk.Huyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Ingekuwa nchi Kama China, USA au Russia kabendelea asingekuwa hai ,wapuuzi Kama hawa huwa ninawashangaa kuiba nyaraka za Siri za serkali harafu bado unataka maisha
kwani wewe hutaondoka??Zarendooo uchwara jizi la rambirambi limeondoka na halirudi tenaaaaaaaaaa