Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,625
- 928
Muhaya NshomireHuyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhaya NshomireHuyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Kabendera ni Murundi, Baba yake, alikuwa anaitwa Shinane Kabendera,alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria,Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguziHuyu ni mwanahabari wa luga ya kiswahili mbobezi mtanzania na aliekuwa akisikika duniani kote, kwa hivyo katika mahojiano yake katumia kiswahili sanifu wanaoweza kukisikia wasikilizaji wa DRC CONGO, BURUNDI, RWANDA, MALAWI, KENYA, COMORO, somalia nk.
Mlaumu mzazi wako ambae ajakupeleka shule dada
Kumchukia mtu aliekufa ni aina nyingine ya matatizo ya akili.Nitamchukia daima mwendazake kwa udhalimu aliowafanyia mamia ya watu wasio na hatia
Kabendera ni Murundi, Baba yake, alikuwa anaitwa Shinane Kabendera,alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria,Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguzi
Kabendera sio mshomire,ni Murundi, Baba yake alikuwa anaitwa Shinane Kabendera, alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguzi,walivyomwambia lazima arudishwe kwao,uliza watu wa Bukoba watakueleza ukweliMuhaya Nshomire
Kabendera ni MurundiWewe mkaldayo thibitisha kwa DNA kama sivyo ni porojo zako jamvini
Kwa yale Makalio yake yalivyokuwa yamelegea 'Ndembe Ndembe' ndani ya ile Khanga aliyotupwa nayo pale Gymkhana Court wala hatuhitaji tena kusikia Simulizi yake ya nini kilimkuta huko kwani Watoto wa Mjini na tuliokulia Pwani na Wabobezi wa kwa Mpalange tumeshajua alichokumbana nacho huko.Aisee Ngosha alikuwa na roho mbayaa Sana, hivi kwanini MO dewji nae haelezei kilichomkutaga kipindi kile
Halafu warundi wamejificha huko temeke,Kabendera sio mshomire,ni Murundi, Baba yake alikuwa anaitwa Shinane Kabendera, alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguzi,walivyomwambia lazima arudishwe kwao,uliza watu wa Bukoba watakueleza ukweli
Jiwe alikuwa katili sana..Katika watu niliwahurumia sana sana huyu mwamba nilimuojea huruama sana aisee. Yani yule mama yake alivokua anaongea kwa huruma, daah inaumiza sana mpaka akafariki na bado wale maharamia hawakumruhusu akamzike mama yake.
Yule mzee roho yake ilikua ngumu kwelikweli aisee.
Mapunguani ninyi mkisha pewa tuvyeo mnajiona mmewini maisha.shame on youIngekuwa nchi Kama China, USA au Russia kabendelea asingekuwa hai ,wapuuzi Kama hawa huwa ninawashangaa kuiba nyaraka za Siri za serkali harafu bado unataka maisha
USSR
Swagg za Kihaya.Huyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Ubongo wako umepata stroke ,kama jina lako.Waliokosa uzalendo walimchukia sana Magufuli.
Hapa umeongea ushuzi kishabiki....Aisee Ngosha alikuwa na roho mbayaa Sana, hivi kwanini MO dewji nae haelezei kilichomkutaga kipindi kile
Mpumbavu wewe na shame on you,21st century middle class wa kitanzania anaongelea upuuzi huu,je wewe ni raia?kabla ya kujiona unaishi in a shithole country ambayo haina IDs kwa raia wewe wewe unaona sawa tu.Kabendera ni Murundi, Baba yake, alikuwa anaitwa Shinane Kabendera,alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria,Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguzi
Tulia we Asha ngedere!!Hapa umeongea ushuzi kishabiki....