Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sita kufa Bali nitaishi, kwani how many times mmejaribu kuniua mmeshindwa? Subirini Hadi nifike miaka 90 Mungu anichukueNdio na wewe unataka zikuue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sita kufa Bali nitaishi, kwani how many times mmejaribu kuniua mmeshindwa? Subirini Hadi nifike miaka 90 Mungu anichukueNdio na wewe unataka zikuue
Hivi kilichomuua meko ni chuki dhidi ya wapinzani wake enh?Sasa michuki yako si utakufanya ufe,
Huyu si mbongo, anaongea utadhani kazaliwa nje
Mother tongue ni Kiswahili ila utadhani ni English
Bila wachina kufanya walichokifanya kule Wuhan, watz tungekuwa jehanamUsaliti na ukosefu wa uzalendo unaadhibiwa kwa hanging
Hata watz wamejaa Urundi so ngoma diroooUko wapi nikuletee Sasa hivi, nitajie location.
Iko hivi warundi wapo hapa Dar, wamejichimbia temeke na wanahonga ili kupata vyeti vya kuzaliwa.
Chukua hiyo.
Unajua uraia wa Tanzania unavyopatikana?
Kama sio mbongo kwa nini jiwe hakumrudisha kwao?
Una umaana gani “haina IDs kwa raia wake”? Kwani wewe unaishi mashimo ya pande za wapi?!Mpumbavu wewe na shame on you,21st century middle class wa kitanzania anaongelea upuuzi huu,je wewe ni raia?kabla ya kujiona unaishi in a shithole country ambayo haina IDs kwa raia wewe wewe unaona sawa tu.
Hivi alikuwa analipwa dola ngapi kwa kuiandika vibaya TZ na hasa Rais Magufuli??Wewe
Kabendera ni Murundi,hata kama nchi haijatoa IDs ilo alisababishi kuwa kila aliyenchini ni Mtanzania,huyo mwenyewe kabendera kilichomsaidi ni uraia wa Mama yake,la sivyo angekuwa Burundi kwao na babayake
Utapanic sana tu!Hivi kilichomuua meko ni chuki dhidi ya wapinzani wake enh?
Masikini jingaman la watu, sahivi limeolewa na ibilisi
Kwa michuki hiyo huwezi kuvuka 50Sita kufa Bali nitaishi, kwani how many times mmejaribu kuniua mmeshindwa? Subirini Hadi nifike miaka 90 Mungu anichukue
Jingalao na wewe una mpango wa kwenda kutibiwa London muda ganiUsaliti na ukosefu wa uzalendo unaadhibiwa kwa hanging
Roho ya usariti tu hawa akina Kabendera ndio wauza information za nchi kwa maadui wa taifa, kizazi cha akina Kabendera akifai kabisa wao ni pesa mbele, pasipo kuangalia athali zitakazo tokea.Kagame watu kama hawa ndio anawaweza,angekuwa kwa Kagame, sasahivi ingelikuwa historiaHivi alikuwa dola ngapi kwa kuiandika vibaya TZ na hasa Rais Magufuli??
Pia Tuache usaliti hasa wa nchi yako. Tuache kutumika kwa rupiya kidogo - kudhalilisha nchi yetu.maisha ni mafupi sana, ila maisha baada ya kifo ni ya milele, tutende mema ili baada ya maisha haya tukaishi maisha ya amani na raha. Tuache;
Viburi, ukatili, unyanyasaji, kuua na kudhulumu kwani mshahara wake ni jehenam ya milele.
Na hata uraia wake naona una Shaka...Roho ya usariti tu hawa akina Kabendera ndio wauza information za nchi kwa maadui wa taifa, kizazi cha akina Kabendera akifai kabisa wao ni pesa mbele, pasipo kuangalia athali zitakazo tokea.Kagame watu kama hawa ndio anawaweza,angekuwa kwa Kagame, sasahivi ingelikuwa historia
Kesho na wewe utakufa na utamfuata Jiwe shenziRoho ya usariti tu hawa akina Kabendera ndio wauza information za nchi kwa maadui wa taifa, kizazi cha akina Kabendera akifai kabisa wao ni pesa mbele, pasipo kuangalia athali zitakazo tokea.Kagame watu kama hawa ndio anawaweza,angekuwa kwa Kagame, sasahivi ingelikuwa historia