Mwanahabari Erick Kabendera ahojiwa na BBC Swahili, aeleza yaliyomsibu

Mwanahabari Erick Kabendera ahojiwa na BBC Swahili, aeleza yaliyomsibu

pole sana Erick, ukirudi twende tukalichape fimbo kaburi la kichaa kule chattle.
pumzika kwa amani mama Erick.
 
Uko wapi nikuletee Sasa hivi, nitajie location.

Iko hivi warundi wapo hapa Dar, wamejichimbia temeke na wanahonga ili kupata vyeti vya kuzaliwa.

Chukua hiyo.
na nyie mpo hapo kweny dawati, mnalalamikia hili la warundi kuchukua bc badala ya kuchukua hatua?

mbona kuna malalamiko kuwa, kuna wandamizi kibao mliowafanyia vetting na wakapewa nyadhfa, nao ni warundi

temeke sio warundi tu, hata wasomali wamejaa sana tu huko.
 
Mkuu naona huna taarifa kuhusu akina Kabendera....
Sio Kabendera yule aliyejiua kwa kujirusha bandarini Bukoba, wapo wengi....
Wewe ndio uwajui akina kabendera,au kwasababu alioa mke wa Muleba,wakawa wanajiita wazaliwa wa Muleba,
 
Wewe
Mpumbavu wewe na shame on you,21st century middle class wa kitanzania anaongelea upuuzi huu,je wewe ni raia?kabla ya kujiona unaishi in a shithole country ambayo haina IDs kwa raia wewe wewe unaona sawa tu.
Kabendera ni Murundi,hata kama nchi haijatoa IDs ilo alisababishi kuwa kila aliyenchini ni Mtanzania,huyo mwenyewe kabendera kilichomsaidi ni uraia wa Mama yake,la sivyo angekuwa Burundi kwao na babayake
 
Kabendera ni Murundi, Baba yake, alikuwa anaitwa Shinane Kabendera,alijiua kwa kujidumbukiza ziwani Victoria,Baada ya kupishana na akina Kagasheki kwenye Mambo ya uchaguzi
Kagasheki ana nuka damu[emoji848][emoji848]
 
Na aache tabia ya kutumika vibaya, kwa bahati mbaya sana, sidhani kama kajifunza. Ushahidi ni hayo maongezi yake hapo BBC.
KUTUMIKA VIBAYA NDIO NINI? Hizo zilikuwa juhudi za kuziba midoma ya watu wasiongee ili aongee yeye tu,kwenye TV yeye,Radio yeye,Magazeti yeye,Kwaye yeye,Wanamziki yeye ili mladi kila kitu yeye. Mh jaribu kunena kinyume chake uone utawauliza kina KABENDERA,LISU,ROMA walio hai,na waliopotezwa je tutajuaje maswahibu yao? Hivi angeacha watu waseme maneneo yangemzuia asifanye maendeleo?Mbona Kikwete,Mwinyi,Mkapa waliacha watu waongee iliwadhuru nini sasa? wengine bado wapo na heshima zao je? zipo. Mh eti aache kutumiwa hizi faru john inabidi ziondolewe kaunta jaza tumbo mtaonekana mazoba milele.
 
Uko wapi nikuletee Sasa hivi, nitajie location.

Iko hivi warundi wapo hapa Dar, wamejichimbia temeke na wanahonga ili kupata vyeti vya kuzaliwa.

Chukua hiyo.
Na Kabendera ni Murundi anayekataa, Baba yake Kabendera ni mzaliwa wa Wapi ktk mkoa wa Kagera?huyu kabendera anatembelea uraia wa Mama yake tu,alafu anakuwa snack wa Nchi.Sasa amerudi kwa mabwana wake waliokuwa wakimtumia
 
Mkuu naona huna taarifa kuhusu akina Kabendera....
Sio Kabendera yule aliyejiua kwa kujirusha bandarini Bukoba, wapo wengi....
Wewe ndio uliza vizuri,me nimekueleza ukweli jalibu kuutafuta au nikutajie na ndg zake?
 
Wewe

Kabendera ni Murundi,hata kama nchi haijatoa IDs ilo alisababishi kuwa kila aliyenchini ni Mtanzania,huyo mwenyewe kabendera kilichomsaidi ni uraia wa Mama yake,la sivyo angekuwa Burundi kwao na babayake
Nimejitahidi kukusoma ili nikuelewe lakini bado sikuelewi,pls nirekebishe kama nimekuelewa sivyo,Mr.Kabendera yupo nchini kutokana na uraia wa mama yake (ni mtanzania?)na sheria yetu inasemaje unapozaliwa na mmoja wa wazazi wako ni mtanzania je unakua raia wa wapi?au hii sheria ni kwa kina mama sio baba?,wakati Crocodiles wanauhuru wa whole Europe!Lizards bado wapo kwenye ukabila!sasa ninamwelewa President Trump,lizards will never be crocodiles!!!
 
8 July 2021

#CIJSummer: Investigating Africa


What’s it like trying to do in-depth reportage on a government deeply intolerant of criticism?

British author Michela Wrong, who has published a controversial new book on Rwanda, and Tanzanian journalist Erick Kabendera, jailed under the presidency of John Magufuli, discuss the challenges of working in sub-Saharan Africa with fellow writer Rosalind Russell.
Source : The Centre for Investigative Journalism

Erick Kabendera Investigating Africa

Erick Kabendera is a freelance investigative journalist based in Tanzania who writes for international and regional publications. He has covered a wide range of topics since 2004 but currently focuses on politics, extractive industries and transnational organised crime
Source : Investigating Africa
 
Back
Top Bottom