Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
I'm 53 now, michuki yako, midua yako mibaya na husda vimeshindwa.Kwa michuki hiyo huwezi kuvuka 50
Inaonesha kweli alikuwa Mrundi mbona umewaka hivi na povu jingi.Mpumbavu wewe na shame on you,21st century middle class wa kitanzania anaongelea upuuzi huu,je wewe ni raia?kabla ya kujiona unaishi in a shithole country ambayo haina IDs kwa raia wewe wewe unaona sawa tu.
Hapo umesema nini? Usipokula Kiapo inakuwaje?Hiyo Siyo kweli. Ukizaliwa nje, ni mtanzania provided that mzazi wako moja ni Mtanzania. Ila tofauti ni kuwa ukifikisha miaka 18 ni lazima ule kiapo cha kuchukua uraia wa Tanzania.
Kuna mrundi mmoja tyr kaishajichomeka mpka meza kuu hadi kwako napajuaHalafu warundi wamejificha huko temeke,
Wakizaliana wanajitahidi kuhonga Ili wapate birth certificate,
Tusipokuwa makini in 20 years time sleeper agents watakua kibao kwenye system.
Naona unatetea ndugu zako.Hata watz wamejaa Urundi so ngoma dirooo
Ataondoka kwa heshima zooote!! Na atakumbukwa kwa mema milele km nyerere!!kwani wewe hutaondoka??
Maskini wewe!! ndo maana hukusoma hao wasije ila wahindi waje!!Halafu warundi wamejificha huko temeke,
Wakizaliana wanajitahidi kuhonga Ili wapate birth certificate,
Tusipokuwa makini in 20 years time sleeper agents watakua kibao kwenye system.
Mkuu mbona ngoma drooo!! Unajua Jiwe kwa sasa lenyewe linatafunwa na nyenyere wahuni tena weusi tii!!Kwa yale Makalio yake yalivyokuwa yamelegea 'Ndembe Ndembe' ndani ya ile Khanga aliyotupwa nayo pale Gymkhana Court wala hatuhitaji tena kusikia Simulizi yake ya nini kilimkuta huko kwani Watoto wa Mjini na tuliokulia Pwani na Wabobezi wa kwa Mpalange tumeshajua alichokumbana nacho huko.
Naaam!! Inatia simanzi sana jiwe hakika alikuwa shetani hasa!! Si binadamu wa kawaida yule.
Watoto wa marehemu zarendo uchwara😂😂😂😂😂Kwa yale Makalio yake yalivyokuwa yamelegea 'Ndembe Ndembe' ndani ya ile Khanga aliyotupwa nayo pale Gymkhana Court wala hatuhitaji tena kusikia Simulizi yake ya nini kilimkuta huko kwani Watoto wa Mjini na tuliokulia Pwani na Wabobezi wa kwa Mpalange tumeshajua alichokumbana nacho huko.
Rinyonge toka humu hautuhusu!!!Endelea tu kumchukia sisi tutampenda daima kwa mema mengi aliyotufanyia sisi wanyonge! Hususan kwa kutuondoshea hayo mamia ya wachumia tumbo ili neema itufikie!
Hii nchi imepitia laana ya kutisha sanaAisee Ngosha alikuwa na roho mbayaa Sana, hivi kwanini MO Dewji nae haelezei kilichomkutaga kipindi kile