Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

Nina wasiwasi tunaweza kusikia yuko Msitu wa Pande au Bagamoyo. Kuna sehemu karibu na Msoga huwa umafia unafanyika sana maeneo hayo. Ni karibu kabisa na shamba la Mr. Dhaifu
Umakini unahitajika sana kwa sasa
 
Mapambano haya hayataisha hata wakiwaua baadhi ya wanaharakati wengine watayaendeleza? Mimi nimeshakutana na vitisho mara nyingi tu kupitia simu (bahati mbaya huwezi kujua vitisho uchwara na vya ukweli). Hata hivyo, mimi nimeamua kusema ukweli kwa gharama yo yote. Mtu atakayenitanguliza mbinguni ajue na yeye si mtu wa kudumu humu duniani - sote tunapita. Hatuwezi kuogopa kusema ukweli kwa sababu tunaogopa koleo ya kutolea meno au kuna kifo.
Akina Nyerere, Mandela na Nkurumah na wengineo wangekuwa waoga, Afrika isingekuwa hapa ilipo leo.
 
Kila mtenda hutendwa wacha waendelee na mchezo wao mchafu lkn mwisho wa siku watafaham tu.
 
Akina Max wa JF wawe makini, kwani yawezekana kuwa wako kwenye pipeline!!
Alishakamatwa mbona mnamo 2008? Ila sijaona kosa lake, kwa sababu JF ni 'User-generated' content.
 
Jamani tuache utani,
Wasije kumuua kisha kichwa chake kikapelekwa nyumbani kwa Rwakatale!!!
 
Mapambano haya hayataisha hata wakiwaua baadhi ya wanaharakati wengine watayaendeleza? Mimi nimeshakutana na vitisho mara nyingi tu kupitia simu (bahati mbaya huwezi kujua vitisho uchwara na vya ukweli). Hata hivyo, mimi nimeamua kusema ukweli kwa gharama yo yote. Mtu atakayenitanguliza mbinguni ajue na yeye si mtu wa kudumu humu duniani - sote tunapita. Hatuwezi kuogopa kusema ukweli kwa sababu tunaogopa koleo ya kutolea meno au kuna kifo.
Akina Nyerere, Mandela na Nkurumah na wengineo wangekuwa waoga, Afrika isingekuwa hapa ilipo leo.
Wingi wa vijana kwenye mikutano ya CDM,shamra shamra,manjonjo,michango yao kwenye M4Cna furaha ya wazi kwenye nyuso zao wakati wa mikutano hiyo ni kielelezo tosha kuwa CDM ni tegemeo lao kwenye ajira ,elimu,afya, ulinzi wa rasilimali za Taifan.k. Ewe Mungu wa Israel endelea kulinda taifa lako la Tanzania,
 
Kafichwa makusudi na Lwakatare ili nchi isitawalike.

Watatajana mpaka kieleweke
Poleni mmechelewa sana hadi hali ya kutotawalika ni sawa simenti imeshakorogwa hairudi tena kuwa simenti.
 
Halafu jk akisha watuma vijana wake kina ramadhani ighondu wakishamaliza kazi ya kung'oa watu kucha anakwenda kutoa pole hii ndio tabia ya mchawi.jmaaa anaroho mbaya sana wakishirikiana na nchimbi.
 
Haya magamba kweli yameamua kuangamiza watu kisawasawa! Lakin tunajua kuwa hizi ni dalili za ukimbozi kufika.

Freedom is coming tomorrow.
 
dah..sasa kweli naamini magamba wamedhamiria kuongoza nchi milele,
hakuna kitu kwenye magamba kwani yalikwisha ondolewa tatizo ni magwanda.na moja wao amekatwa jana bado wengine labda tundu lisu anajua alikojificha
 
Back
Top Bottom