Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hawamjui adui yao, adui sio Chadema, adui mkubwa ni ahadi zao kwa wananchi ambazo hazitekelezekiUsitake ncheke Bujibuji, hawa jamaa wa ccm bwana naona hata hawana idea ya nini kinachowafanya wachukiwe na wananachi!!!!
majoka ya kibisa hayo hayang'atiAkina Max wa JF wawe makini, kwani yawezekana kuwa wako kwenye pipeline!!
Unachosema ni alert nzuri kusema kweli, chadema wawe makini kuweka ulinzi nyumbani kwa LwakatareJamani tuache utani,
Wasije kumuua kisha kichwa chake kikapelekwa nyumbani kwa Rwakatale!!!
Dah! Imebidi nicheke tuHata mimi nafutwa sana ila nataka kuwa akikishia hawata weza kunifanya kama ulimboka na kibanda,mimi ndiye ntawafanya vibaya na nta waua mmoja baada ya mwingine.
Hata mimi nafutwa sana ila nataka kuwa akikishia hawata weza kunifanya kama ulimboka na kibanda,mimi ndiye ntawafanya vibaya na nta waua mmoja baada ya mwingine.
Na mimi nimewaza hivyo. Kwamba wasije watu wakawa wanasema amejificha kumbe tayari keshatekwa na kuuawa huko. maana hali ya Tanzania kwa sasa ni hatari tupu.Tuombe Mungu asije akawa amepelekwa Msitu wa Mabwepande.
Nakubaliana na aliyesema Utawala wa KIkwete ni wakimafia ni kuuwa kila anayeukosoa kwa sasa namwamini kabisa na alichosema ,Kikwete mpaka aondoke atakuwa ameua wananchi wengi zaidi ya Risi yeyote aliyewahi kutawala hivi huwa najiuliza afanyavyo haya huwa anawashirikisha Jaji Othman,Mkuu wa Usalama Othman na msaidizi wake Jack Zoka,IGP-Saidi Mwema,Makamu wa Raisi Bilali,Kamishena wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam -Selemani Kova akisaidiwa na Ahmed Msangi kama hawahusishi wanamshauri vipi hawa Raisi wetu
Tuombe Mungu asije akawa amepelekwa Msitu wa Mabwepande.
acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi
Kafichwa makusudi na Lwakatare ili nchi isitawalike.
Watatajana mpaka kieleweke