kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
huwezi kuchangia bila kuweka udini wewe?acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kuchangia bila kuweka udini wewe?acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi
mkuu naona hujawahi ingia magogoni wewe, kuna kuna timu ya vigagula pale tena iko full kama barcelona. yaani ninauhakika ungefrot mwenyewe tu.... fastjet hawezi fanya safari bila ramli kupigwa kudadek.......chezea mukulu wewe?Nchi ya hovyo sana hii_mtu msema kweli ndio anageuka adui wa kuwindwa,....i wish kama ningekuwa mchawi ningemroga mkw..ere na familia yake yote.
Sasa kama Chadema wana uwezo mkubwa namna hiyo kuna hatari tukasikia Kikwete katekwa na Chadema
udini utatuangamiza.acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi
Mapambano haya hayataisha hata wakiwaua baadhi ya wanaharakati wengine watayaendeleza? Mimi nimeshakutana na vitisho mara nyingi tu kupitia simu (bahati mbaya huwezi kujua vitisho uchwara na vya ukweli). Hata hivyo, mimi nimeamua kusema ukweli kwa gharama yo yote. Mtu atakayenitanguliza mbinguni ajue na yeye si mtu wa kudumu humu duniani - sote tunapita. Hatuwezi kuogopa kusema ukweli kwa sababu tunaogopa koleo ya kutolea meno au kuna kifo.
Akina Nyerere, Mandela na Nkurumah na wengineo wangekuwa waoga, Afrika isingekuwa hapa ilipo leo.
Mkuu hukufuatilia kipindi cha kipima joto kinachotajwa kwenye mada hii bila shaka. Alimpa tabu sana Naibu speaker na aliushutumu wazi wazi uongozi wa bunge na hata jinsi viongozi wa serikali wanavyobehave na kuingilia bunge.......sio hicho tu ila ni mtu anayesema uovu wa serikali na taasisi zake wazi wazi. Sishangai kama amefuatiliwa kwasababu nchi hii fisadi ndo anapongezwa na mtu anayeonekana anatetea maslahi ya taifa ni adui. One day the truth shall stand......Kwa hiyo ukiwa na bango hilo ndiyo utafutwe kuuawa au?
Kafichwa makusudi na Lwakatare ili nchi isitawalike.
Watatajana mpaka kieleweke
Dah,Mkuu. Naamini hawa manguli wanachukua hatua thabiti kuepusha macho na meno yao dhidi ya makoleo ya kina Joseph Mulundi.
Atakaye pona JF ni Invisible peke yake maana hawata muona au huenda wako naye lakini hawamuoni.