Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

Sasa ndiyo tunashuhudia utawala dhalimu na wa mabavu wa JK.Kila auaye kwa upanga atakufa kwa upanga.
 
Tumekuwa wakimbizi ndani ya nchi yetu!!!!! Halafu eti nasikia katika mtandao wa eGovernment wataweka programme wa ku-trace watumishi wa serikali wanaochangia maoni katika mitandao ya kijamii? Nchi ya madikteta hii!!! Kudadeki nitamwambia yule mdogo wangu anunue laptop yake kwa ajili ya JF tu!!!
 
Nakubaliana na aliyesema Utawala wa KIkwete ni wakimafia ni kuuwa kila anayeukosoa kwa sasa namwamini kabisa na alichosema ,Kikwete mpaka aondoke atakuwa ameua wananchi wengi zaidi ya Risi yeyote aliyewahi kutawala hivi huwa najiuliza afanyavyo haya huwa anawashirikisha Jaji Othman,Mkuu wa Usalama Othman na msaidizi wake Jack Zoka,IGP-Saidi Mwema,Makamu wa Raisi Bilali,Kamishena wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam -Selemani Kova akisaidiwa na Ahmed Msangi kama hawahusishi wanamshauri vipi hawa Raisi wetu

Huna kumbukumbu kichwani ! Una UNAUNAFIKI kichwani mwako.

Unamfahamu Rais Mkapa ? Yeye ndiye aliyeuwa Watanzania wengi kuliko Rais yeyooote aliyewahi kutokea Tanzania
 
akili ndogo kama mpuuzi mmoja anapenda kucheka cheka kama mwanamke aliyesamehe wezi wa mabilioni benki kuu

sina la kuongeza mkuu,ila angalia Ighondi na koleo zake mgogo anafanya operesheni za kuondoa kucha na meno bila ganzi
 
Akina Max wa JF wawe makini, kwani yawezekana kuwa wako kwenye pipeline!!

Enyi wapigania ukombozi wa kweli wa nchi hii ya Tanzania, muyaonapo hayo yakitokea furahini tena shangilieni mkijua ukombozi umekaribia naam upo mlangoni, kitambo kidogo tutauona. Heri wale watakaojiunga na wapigania ukombozi wa kweli maana watafurahi pamoja lakini ole wauaji, watesaji, wezi, mafisadi nk. maana wataaibika milele. Vitisho kwetu iwe ni ishara ya ng'ombe kupiga teke anapokufa wala tusikate tamaaa maana tunakaribia kupata tulichotarajia ambacho ni ukombozi wa kifikra na kiuchumi ulioshikiliwa kwa muda mrefu na wakoloni weusi waliotufundisha kumchukia kaburu na kumwita kwa majina mengi tofauti lakini wakawa wabaya kuliko makaburu. Hima wananchi tunaoipenda Tanzania amkeni tuikomboe nchi yetu mikononi mwa wanyonyaji. Wataondoka kwa aibu japo watakuwa wametuumiza sana lakini hatimaye ukombozi unapatikana. Hata tukifa leo bado vizazi vijavyo vitaonja matunda ya tukifanyacho leo na watatusifu kwa juhudi zetu hivyo tutaishi mioyoni/akilini mwao lakini tukiishi kwa woga tutasahaulika na kudhaurauliwa daima.
 
Jamaa angekimbila ubalozi wa marekani...kina Jack Zoka watamuwinda tu....sema tu sasa hivi wako bize na kina karugendo na Ans. Ngurumo!!
 
Mkuu NasDaz
Umeniacha hoi; nimecheka sana; Mohamedi Mtoi anataka kutufanya sisi mapimbi kule kwa Lwakatare kwenye moto hatii mguu anatuletea uzushi ambao mods wamepangua; mkuu NasDaz hawa kina Mohamedi Mtoi wapo JF kwa viposho wanavyopewa pale mtaa wa Togo wapo wengi sana humu JF wanaganga njaa kwenye siasa; na wengine wanajipendekeza kwa viongozi ili wafikiriwe kupewa vijinafasi; sisi tupo JF tukiwa na uhuru wa mawazo hatupo hapa kumfurahisha mtu tunakupa kitu stereo kama kilivyo.

Chama
Gongo la mboto DSM

mpo kumfurahisha Nape na Mwigulu acheni unafiki.Dhaifu aliwaagiza mjibu hoja za wapinzani,tatizo mkizidiwa mnamtuma Rama Ighondu ang'oe kucha,meno,macho bila ganzi.Au akina Kamuhanda kwa Mwangosi,vipi Mwanahalisi dhaifu hakudhubutu kulipeleka mahakamani asijeumbukaj.
Mnatuburudisha kwa porojo zenu kama mzee Majuto lkn hambadilishi fikra huru za Watanzania wa leo
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Waungwana!
Nashindwa kuchangia chochote kwa kuwa sijui maana ya mwanaharakati.
 
Bora asalimishe maisha yake mapema maana hali imekuwa mbaya sana hapa nchini. Tanzania niliyokuwa naijua na kuiimba tangia nikiwa primary sio hii ya sasa. Mungu atusaidie
 
Mkuu.
Usiwe na closed mind kama chama! Hivi kama tayari kuna uzi wa Rwekatare kwenye mjadala mimi kazi yangu ni kuja kukanusha ya Rwekatare hata kama sina uhakika na kinacho mhusu?! Mimi sio wa hovyo kiasi hicho mkuu!

Na kuanzisha uzi mwingine kuhusu jambo lingine ni haki yangu ya msingi kama jinsi aliye anzisha uzi wa Rwekatare alivyo tumia haki yake ya msingi. Swala la msingi ni kujiridhisha kama ni kweli au sio kweli.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Jambo moja nina uhakika nalo mkuu wangu....wewe na chama, bila shaka hata wewe na mimi mitizamo yote hutofautiana kisiasa...!!! Mkishatofautiana, mara kwa mara hata michango yenu itakuwa tofauti hususani kama mtakuwa mnajadili political issues....! So, chama akitofautiana na wewe si kwamba ana closed mind.

Halafu kuhusu mada yangu...naona umefura ile mbaya wakati jambo lenyewe dogo kuliko energy uliyotumia kulijibu! Anyway, tuendelee...!
 
Last edited by a moderator:
Naomba ujumbe huu umfikie na ndugu Yericko Nyerere wasije wakamzamisha kwenye kivuko cha kigamboni maana huwa anawasema CCM kwa sauti kali sana

Wanaweza kufanya chochote na kusitisha pumzi yangu au ya yeyote, lakini mwenye mamlaka ya kusitisha uhai wangu ama wa yeyote ni mungu pekee.

Mimi au yeyote hatuwezi kuwahukumu, ila ghadhabu ya Mungu ijuu yao.
 
Wana Jukwaa, Nawashukuru nyote kwa namna ya pekee kujali na kupaza sauti zilizowatia hofu watesi wangu na kunijaza ujasiri wa kurejea katika uwanja huu na mapambano ya mabadiriko Tanzania. Kusema kweli sina maneno kwa namna eyote kuweza kuwasilisha shukrani zangu ipasavyo: Naomba itoshe nisemaapo ASANTE! Kwa hoja na mihemuko iliyojitokeza humu kwenye jamvi na mijadala juu ya yale yaliyojiri, nitarudi hapa kwa wakati na kufuata haja na mijadala iliyopo kutoa ufafanuzi na au majibu iwezekanavyo. Mimi niko salama, nimerejea kazini na naamini niko tayari kuitumikia jamii yetu kuendeleza harakati za kuijenga Tanzania (na zaidi Tanganyika) bora kwa kizazi hiki na vijavyo! Mungu awabariki sana.
 
Wana Jukwaa, Nawashukuru nyote kwa namna ya pekee kujali na kupaza sauti zilizowatia hofu watesi wangu na kunijaza ujasiri wa kurejea katika uwanja huu na mapambano ya mabadiriko Tanzania. Kusema kweli sina maneno kwa namna eyote kuweza kuwasilisha shukrani zangu ipasavyo: Naomba itoshe nisemaapo ASANTE! Kwa hoja na mihemuko iliyojitokeza humu kwenye jamvi na mijadala juu ya yale yaliyojiri, nitarudi hapa kwa wakati na kufuata haja na mijadala iliyopo kutoa ufafanuzi na au majibu iwezekanavyo. Mimi niko salama, nimerejea kazini na naamini niko tayari kuitumikia jamii yetu kuendeleza harakati za kuijenga Tanzania (na zaidi Tanganyika) bora kwa kizazi hiki na vijavyo! Mungu awabariki sana.
 
Wana Jukwaa, Nawashukuru nyote kwa namna ya pekee kujali na kupaza sauti zilizowatia hofu watesi wangu na kunijaza ujasiri wa kurejea katika uwanja huu na mapambano ya mabadiriko Tanzania. Kusema kweli sina maneno kwa namna eyote kuweza kuwasilisha shukrani zangu ipasavyo: Naomba itoshe nisemaapo ASANTE! Kwa hoja na mihemuko iliyojitokeza humu kwenye jamvi na mijadala juu ya yale yaliyojiri, nitarudi hapa kwa wakati na kufuata haja na mijadala iliyopo kutoa ufafanuzi na au majibu iwezekanavyo. Mimi niko salama, nimerejea kazini na naamini niko tayari kuitumikia jamii yetu kuendeleza harakati za kuijenga Tanzania (na zaidi Tanganyika) bora kwa kizazi hiki na vijavyo! Mungu awabariki sana.

ulitekwa hukutekwa?
jibu basi hilo kwanza...
 
Inabidi uanzishe uzi kujibu hoja zetu. Mimi nilisema kwamba mwanaharakati hatakiwi kukimbia kifo bali akabiriane nacho,unge itisha press conference na kutangaza hadharani kuwa kuwa wa2 wanakufuatilia kwa lengo la kukudhuru. Pepo hatoki bila kukemewa!
 
Mwanaharakati Marcosy Albanie ametoweka nyumbani kwake baada ya kufuatiliwa na watu wasio julikana kwa kipindi cha siku kadhaa.

Mtakumbuka mara ya mwisho Bwana huyu alionekana kwenye kipindi cha kipima joto kilicho rushwa kwenye runinga ya ITV kikimshirikisha yeye, mbunge wa Singida mashariki Mh Tundu Lissu pamoja na naibu spika Mh Job Ndugai.

Chanzo: Mabadiliko.

NB. Marcosy anajishughulisha na taasisi ya kiraia inayo fuatilia mwenendo wa shughuli za bunge pamoja na masuala mengine katika jamii.

attachment.php


Kutoka kwenye gazeti la Mwananchi ijumaa, Machi 15, 2013. Uk 8.

Akizungumza- jana kutoka alikokimbilia,- Marcossy alisema ameamua kuikimbia nyumba yake kwa ajili ya usalama na kubainisha kuwa taarifa ya vitisho vyake aliwasilisha kwa Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRD-Coalition,) Onesmo Olengurumwa.

Nikiangalia hiyo picha hapo napata fundisho moja. Kifo kikiwa mbali ni rahisi kukitaka ili upate umaarufu. Kikikiwa karibu ni NDUKI mtindo mmoja:A S shade:
 
hii ni nchi ya ajabu sana, kila anayeonekana kusema ukweli anakua adui na anatafutwa kudhulumiwa kwa udi na uvumba

ni wakati muafaka watawala wajifunze kukosolewa kwani enzi ya fikra za mwenyekiti zidumu zimepitwa na wakati huu wa digitali

digitali balaa ukifanya ufisadi hat majini inakumulika sijui nani atapona
 
Back
Top Bottom