Mwanaharakati: Kizazi baada ya Nyerere ni cha Ovyo

Mwanaharakati: Kizazi baada ya Nyerere ni cha Ovyo

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
 
Hivi marehemu Rais Mwinyi ni kizazi gani maana ndiyo kilifuta Azimio la Arusha.
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Kizazi Cha Nyerere ndo kila Fanya ovyo zaidi ya kwenda kuishi kwenye majumba ya wazungu masaki baada ya kuwatimua hakuna walichofanya
 
Hivi marehemu Rais Mwinyi ni kizazi gani maana ndiyo kilifuta Azimio la Arusha.
Azimio la Arusha lilikuwa na mapungufu mengi ndo maana hata kiongozi anayelalamika kuhusu Haliishi na hajawahi kuliishi azimio la Arusha
 
Azimio la Arusha lilikuwa na mapungufu mengi ndo maana hata kiongozi anayelalamika kuhusu Haliishi na hajawahi kuliishi azimio la Arusha
Mbadala wa Azimio la Arusha ukawa ufisadi na unyang'anyi wa mali za umma!
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Apewe ubunge wa heshima
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Watu 4 kati yenu 1 anatatizo la afya ya akili, kwa mujibu wa wizara ya afya inamaana katika wabunge 100 wabunge 25 kati ya hao 100 wanatatizo la afya ya akili, kwa lugha rahisi robo ya wabunge wanatatizo la afya ya akili
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Mkuu washauri wawe makini, wapo kwenye radar ya wasiojulikana. Kina Soka hawajapatikana!

Wasisitize wajikite walikoanzia kwenye kuchambua dini, kwenye siasa chaka lingine, umakini uzingatiwe.

Jumapili Mubarak.
 
"Mafala yanafurahia kupanda ndege kufuatia nguo China, lkn hayajawahi kuwaza kurudi na mashine yatengeneze nguo hapa hapa Tanzania ili yaziuze nchi jirani". Bonge moja la mtazamo toka kwa Wachokonozi .
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Mpuuzi kashindwa kujitafutia maisha amebaki analaumu ,nyie misukule ya mzee Mbowe ngonjera zenu hazitawasaidia chochote zaidi ya kupoteza muda wenu ambao mnashindana na ukuta
 
Mkuu washauri wawe makini, wapo kwenye radar ya wasiojulikana. Kina Soka hawajapatikana!

Wasisitize wajikite walikoanzia kwenye kuchambua dini, kwenye siasa chaka lingine, umakini uzingatiwe.

Jumapili Mubarak.
Acha uoga, ndo kizazi tajwa nini wewe?
 

“Kizazi baada ya Nyerere ndiyo kimefanya Tanzania imekuwa maskini. Kizazi kimeuza viwanda. Kizazi kinang’ang’ania kubaki madarakani. Kizazi kimewekeza kwenda bungeni na kununua V8. Kizazi kinasifu kila kitu Rais anachofanya. Ni kizazi chenye watu wasiokuwa na akili timamu”
Nyerere ndiyo alisababisha haya
 
Back
Top Bottom