Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Serekali ya sisiemu ndio wahusika kwenye hili. Walianza na dr Slaa sasa wanamaliza na Maria.
 
Mama Abdul ameanza ku export ugaidi wake
 
Sasa hawa wanaharakati na wanasiasa wengine wenye maoni makali wawe na ulinzi wa kufa mtu, saa yoyote wanaweza kutekwa. Yaani kama una ulinzi wa kufa mtu watekaji itabidi wajipange vema la sivyo watachezea kipigo cha kufa mtu, ni hatari sana!
Wakamjaribu HECHE... Hawatatoka salama..
 
Wameibuka nchi jirani tena, maana na Kiiza Besigye nae ilikuwa hukohuko
 
Huyu ni ccm toka ccm family, yaani familia. Watamuuliza uliza vijiswali na kumtisha. Ila hawatamchapa hata Kofi. Watamuachia. Hutaki kuamini acha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…