Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Attachments

  • 163192.jpg
    163192.jpg
    47 KB · Views: 3
Kumambuzi nchi za kenya na tanzania mataifa mengine yakitangazia raia wachukue tahadhari kuna utekaji zisilalamike kukosa watalii. Hii sasa too much na tunalaani vikali utekaji
 
Kasha kwisha uyu wana msaanane haraka sana bila shaka uyu hawata mpitishia mpaka wa.... kama yule naniliii....
 
Watamtatua marinda sawa sawa, then watamuacha akiendeleza harakati zake wanaachia msimbo...

Naskia hata akina roma walitatuliwa marinda 🤔
Aliyekuwa kiranja wa hizo harakati naye alitatuliwa na covid na aliachia samadi la kufa mtu na sasa yupo kuzimu anapewa haki yake ya kiroho, hivyo hata huyu wa sasa naye atapata anachostahili muda haujawahi kuongopa.
 
Aliyekuwa kiranja wa hizo harakati naye alitatuliwa na covid na aliachia samadi la kufa mtu na sasa yupo kuzimu anapewa haki yake ya kiroho, hivyo hata huyu wa sasa naye atapata anachostahili muda haujawahi kuongopa.
Sarungi,Lema,Heche,TAL wanted!
 
ANAANDIKA Mh LISSU

Maria Sarungi-Tsehai, one of Tanzania's foremost and fearless critics of the Samia regime and a dearest friend has been snatched by three unidentified gunmen in the vicinity of Yaya Centre in the Kenyan capital of Nairobi.

A strident opponent of the Magufuli dictatorship, Maria had fled to exile in Kenya since just before the fraudulent 2020 general elections and had been running Chanzo TV, a pro-democracy online platform.

While we hope and pray for Maria's life and safety, we must call upon the Kenyan government and all people of goodwill from around the world to intervene in whatever capacity they can to help secure Maria's safe return to her family.

And we must tell whoever is behind Maria's abduction and disappearance that no amount of terror and violence or intimidation will silence us. That many many more Marias will step forward to take up her fight for democracy and decency in Tanzania.
Mbona kama Tundu Lissu kakata tamaa kwenye haya ya mwisho??
 
siajabu wamesham-stab in the back tayari kwa soros, rejea picha ya mbowe na tundu lisu iliyo trend hapa …
 
Back
Top Bottom