Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Wewe ni rapist mother fucker!Endelea,kusema ni uzushi wakati kitamu kinaliwa na wasiojulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni rapist mother fucker!Endelea,kusema ni uzushi wakati kitamu kinaliwa na wasiojulikana
Yule anaegombea uenyekiti na SultanDr. Slaa
Maria Sarungi...
Next..?
relax gentleman,Iv we unatumia kichwa kufikiri au makalio

Ndio maana nikasema kama ni kweli hii sio mara ya kwanza banana republics kushirikiana.TISS wanaiga umafia wa Kagame(that's if it's a true story), kufanya abduction katika nchi ya watu ni kusababisha mvutano kati ya nchi na nchi unless kama wameshirikiana na shirika la kijasusi la Kenya(the shit has happened in Nairobi).
Nyie mnapenda story za kubaka na kubakwa shenzimbuziMmmh!!! wamwache hivi hivi sijui, wanaume tu wanashughulikiwa, wakiachiwa huko wanakuwa wapoleee, sembuse huyo!??
Wewe ni rapist mother fucker!
Raisi kashaweka mfumo sasa hivi anawateka hata kutoka kaburini, huelewi wapi?
Ukiona kiongozi yeyote anateka watu wanaomkosoa huyo Hana uwezo wa akili za kuwajibu wakosoaji, na hili tatizo litachelewesha sana maendeleo ya inchi za AfricaTAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Mbowe ana interpol?Aisee sasa Mbowe anaanza kuwasaka wanaomsaport Lisu,
Ni doa kwa Ruto maana
Hapo simu zake, kama kuna wadau wa serikalini walikuwa wana wasiliana nae kumpa Abc's ya mambo aliyokuwa ana tweet watakuwa matumbo joto muda huuWacheni hizo basi wajombo mboni nongwa
Amnesty KenyaAliyetoa taarifa atoe ushirikiano kwa vyombo husika!
Hivi huyu Mange mbona simpati Insta kwa akaunti zake zote mbili. Au kaniblockNdomana mange anaogopa kukanyaga afrika anajuwa nini
Kitafuata
Ova
Kumekuchaa
🤔🤔
Good!TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Mtanzania mwenzetu anatekwa nchi jirani then unasema Good??Good!