Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Sultan ndio ana magenge kumbe?100%
Mkimtaka,soon tutarudia uchaguzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sultan ndio ana magenge kumbe?100%
Mkimtaka,soon tutarudia uchaguzi!
Huyu anaweza akajikuta yuko kwenye ardhi ya tzMkielezwa, mnajiona mnajua!
Chungulieni manyoa,upande wa namanga sasa!
Yeye alijiamini vipi akaenda kukaa Kenya kuna usalama gaani kule? Si bora angeenda kuishi hata Botswana hukoSerikali ya Kenya inasemaje kuhusu foreign agents kufanya mauaji kwenye ardhi yao?
Wewe pitahivini muhimu kujiepusha na dhuluma za mali au fedha na harakati kwenye maisha ya awtu na kuchafua familia za watu kwa manufaa binafsi. Wawaume na wake za watu ni sumu my friends, ladies and gentleman![]()
chukua itakusaidia hiyo gentlemanWewe pitahivi

Pitahivichukua itakusaidia hiyo gentleman![]()
Ndomana mange anaogopa kukanyaga afrika anajuwa niniKila ubaya utalipwa
Maria alikuwa ni mwanaCCM mwanaharakati wa HAKI za Binadamu na alikuwa akipinga sana haya mambo ya utekaji na uuwaji bila kufikisha watu mahakamani.Yeye alijiamini vipi akaenda kukaa Kenya kuna usalama gaani kule? Si bora angeenda kuishi hata Botswana huko
Raisi kashaweka mfumo sasa hivi anawateka hata kutoka kaburini, huelewi wapi?JPM Baba washaanza kutekana wenyewe kwa wenyewe,awamu hii hasingiziwi Rais
Sidhani kama Serikali ya Kenya imehusikaIwapo haijahusika