Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Very sad
 
Noah ni gari hatari sana hasa ukiona zile Noah Mayai au wanaziita Voxy za mwaka 2006 - 2008, ukiona barabarani zipishe, zinakimbia alafu hazina mlio na ukiona tinted kaa chonjo..!!

IMG_4083.jpeg
 
Mimi siamini huu uzushi wenu kuwa Tz wanahusika Maria ni Mtoto wa Ccm kalelewa ndani ya Tiss iweje leo muisingizie serikali?

Huyo anahusishwa kuivuruga CDM miaka na miaka iweje leo atekwe na ccm aseme vizuri hapo Kenya kazulumu nini maana hapa tangu enzi za JPM alikuwa anakosoa na hawakuwahi kumkata kwani walishindwa kumfika Mzee Sarungi?

Acheni uzushi Serikali yetu haihusiki yeye anajua alichofanya huko kwa watu kwa akili yako angekuwa anatafutwa na Serikali yetu hata yeye kwa akili ndogo angekubali kwenda kujificha hapo Nairobi?

Huu ni Uzushi.....
 
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Dah!
 
Jesus!mother fucker! Kwanini alienda Kenya! Mi huwa nafikiri anaishi Ulaya? Hakuona jinsi KiiZa besigye,alivyochukuliwa kikimandoo na ma spy wa Museveni,?!
Huo ndio mwisho, sasa hv huko alipo, atakuwa anaimba kama kasuku, atatendewa vitendo vya udhalilishaji, atatoa Siri zote,
Taasisi pekee ya kuweza kumuokoa, ni US Embassy, au umoja wa Ulaya!
Mimi hapo nimeelewa tu hio mother fucker! Mengine sijaelewa emu andika upyq
 
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Aliyetoa taarifa atoe ushirikiano kwa vyombo husika!
 
Mimi siamini huu uzushi wenu kuwa Tz wanahusika Maria ni Mtoto wa Ccm kalelewa ndani ya Tiss iweje leo muisingizie serikali?

Huyo anahusishwa kuivuruga CDM miaka na miaka iweje leo atekwe na ccm aseme vizuri hapo Kenya kazulumu nini maana hapa tangu enzi za JPM alikuwa anakosoa na hawakuwahi kumkata kwani walishindwa kumfika Mzee Sarungi?

Acheni uzushi Serikali yetu haihusiki yeye anajua alichofanya huko kwa watu kwa akili yako angekuwa anatafutwa na Serikali yetu hata yeye kwa akili ndogo angekubali kwenda kujificha hapo Nairobi?

Huu ni Uzushi.....
Endelea,kusema ni uzushi wakati kitamu kinaliwa na wasiojulikana
 
Mbaya mbaya mbaya sana!
Tunakwenda wapi na haya matukio?! TAMAA na UROHO WA MADARAKA KWELI UNAMFANYA MTU ATENDE HAYA?!
 
Back
Top Bottom