Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
NI muhimu pia kutafakari wale wafanya biashara katika hizi nchi tatu za East Afrika.....hawa haaataruhusu Mpinzani ainue kichwa by any means.Juzi hapa yule mpinzani wa Museven Bw Kizza Besigye alitekwa Nairobi, hizi nchi za EA Africa za kixenge sana, ni kama serikali zote wanashirikiana kufanya uhalifu...
Wakamjaribu HECHE... Hawatatoka salama..
Shangazi naye,akicheza, wasiojulikana watakula tamu yake mchana peupe!Hao ndio wapiga Kampeni wake na kina Shangazi
Uchawa nao ni kazi lakini, maana kwa style hii Mbinguni kufika nako ni kazi.Huyu nae alizidisha mdomo ngoja kwanza afinywe kidogo
Ni zaidi ya rais. Kapandikiza mbegu zake kwenye uraisi sasa hivi zinazaa tu.Kumbe bado ni Rais aiseee
Aisee sasa Mbowe anaanza kuwasaka wanaomsaport Lisu,
Ni doa kwa Ruto maana
Ana mapangaana ulinzi gani?
No comment tunasubiri taarifa rasmiTAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Now people they must understand kuwa Jamaa ni kipenyoMbowe amejiapiza kulinda saccos yake kwa gharama yeyote ike
TISSSultan
Maneno yake Yanaweza wachochea wehu wengineHivi kwanini uhangaike na mtu ambaye hawezi kupindua hata serikali yako?!
Hawa ni wakuachana nao tu wewe tekeleza ilani yako
Wasenge sijui kama watamfikisha mahakamani.Dr Kiiza Besigye alikamatwa Kenya kwa staili hii hii, akasafirishwa kwenda Uganda kwa siri usiku. Maria akifika Bongo ndio ameisha.
Bado hamjachoka tu...zungumzeni hali halisi, msijifiche nyuma ya Magu; miaka 4 hayupo, hakuna mwenye akili tofauti ya kufanya tofauti ila kulaumu tu?Abduli na Mchengerwa wanahusika for sure.Sema kuna mtu wake wa karibu kamsaliti.Hivi Abduli na Mchengerwa mtaishi milele?Kusema ukweli kina Abdul ni katili kuliko Magufuli.
Ruto tena!Ruto must Go
Si mahala salama.Nchi za East Afrika zinaongozwa n
Nchi za East Afrika zinaongozwa na magenge ya wahalifu ,hawa vibaka wanashirikiana kufanya ujangili wao na kuzima midomo ya raia ,shenzi kabisa