Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
No comment tunasubiri taarifa rasmi
 
Abduli na Mchengerwa wanahusika for sure.Sema kuna mtu wake wa karibu kamsaliti.Hivi Abduli na Mchengerwa mtaishi milele?Kusema ukweli kina Abdul ni katili kuliko Magufuli.
Bado hamjachoka tu...zungumzeni hali halisi, msijifiche nyuma ya Magu; miaka 4 hayupo, hakuna mwenye akili tofauti ya kufanya tofauti ila kulaumu tu?

Wengine utasikia, Nyerere ndo katufikisha hapa, kweli? Vizazi vingapi vimepita baada yake na hakuna lililofanyika hata akalaumiwa yeye na sio walioko?

Walitekwa akina Ulimboka, wakapotea akina Ben na sasa wanapotea na kufa akina Kibao n.k; mamlaka inasema ni kawaida ILA bado mna MAGUFULI tu!
 
Back
Top Bottom