Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mange na Kabendera wako salama sana labda waende East Africa, walimshindwa Chahali kivipi unadhani. Kuna nchi ikiwa ndiyo base yako kwa level za TISS jua tu uko safe labda wasaidiwe na mashirika makubwa ya kijasusi na hayo mashirika hufanya kazi kwa mtindo wa nipe nikupe. Kabla ya kusaidiwa you gotta put something on the table.
 
Uzi umetembea. Hii maana yake maria ana ushawishi kwa jamii.
 
Mwanamke mzuri,kama Maria, anawezaje akatekwa,Jijini Nairobi na wanaume watatu wenye silaha za moto,na gari ,then baada ya Lisaa upatikane ukiwa hai na kitamu Kiko salama?
 
Acha ujinga wewe, kila kitu kilikuwa live wewe fala. Wewe una akili? Unamtetea Makonda na Samia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…