johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISS wanaiga umafia wa Kagame(that's if it's a true story), kufanya abduction katika nchi ya watu ni kusababisha mvutano kati ya nchi na nchi unless kama wameshirikiana na shirika la kijasusi la Kenya(the shit has happened in Nairobi).TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
View attachment 3199790
Aise watamleta hukuDr Kiiza Besigye alikamatwa Kenya kwa staili hii hii, akasafirishwa kwenda Uganda kwa siri usiku. Maria akifika Bongo ndio ameisha.
HAPANA HAPANA HILI HAPANA!!TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Mungu tusaidieTAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Mimi nlijuwa yuko ulaya au America anaishi kumbe alikuwa kenya tuHatarii
Kasongo 🐼Mmmh
Nairobi kuna kamera kila kona itashangaza wakishindwa kuwatambua watekajiRuto must Go
Wajackoa Rafiki wa Lema yuko Nairobi?Mimi nlijuwa yuko ulaya au America anaishi kumbe alikuwa kenya tu
Ova
AtarudiMmmh