Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SultaniAisee mbona hatari??
Atarudi keshoHaki huliinua Taifa
AiseWajackoa Rafiki wa Lema yuko Nairobi?
Anarudi kesho
SultanJPM Baba washaanza kutekana wenyewe kwa wenyewe,awamu hii hasingiziwi Rais
Anaweza kujikuta office mpya bawachee 😂😂Aise
Huyu atajikuta yuko ardhi ya Tanzania
Ova
Anarudi keshoOh No! Sio kwa Maria wetu jamani!
NO!
Huko Kenya Kuna utekaji sana ,alikuwa ni Bongo hapa si ndio?TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Mungu wangu😭😭😭TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
SultanBasi tena... kwa wazoefu, baada ya masaa 24 atakuwa na hali gani ya majeraha?
Mtemi 😂Pashachangamka.
Anarudi keshoMungu wangu😭😭😭