Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Huko Kenya Kuna utekaji sana ,alikuwa ni Bongo hapa si ndio?

Je hajui kwamba huko Kuna Kampeni ya Ruto must go?
 
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Mungu wangu😭😭😭
 
Kupitia ukurasa wa mtandao wa X mwanaharakati Tito Magoti amechapisha taarifa inayodai kuwa Mwanaharakati na Mtetezi wa Haki za Binadamu Maria Sarungi ametekwa nyara eneo la Chaka, jijini Nairobi na watu waliokuwa na silaha leo mchana.

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International nchini Kenya AmnestyKenya limeripoti kuwa Maria ametekwa na watu watatu wenye silaha wakiwa na gari aina ya Noah nyeusi leo majira ya saa tisa na robo Alasiri (3:15PM)

Hakuna taarifa kuhusu alipo au mahali anaposhikiliwa.
photo_2025-01-12_17-14-37.jpg


Screenshot 2025-01-12 172305.png
 
Back
Top Bottom