Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenye akili watambue hakuna watekaji wenye nia ovu kweli wakuchukue halafu wakuachie ukiwa safe bila mkwaruzo wala uchovu, hao Amnesty walijuaje kama sio kupewa taarifa na Sativa aliyeandaa nae huo mchongo hapa anataka kuichafua Serikali na Mbowe
Mariah mkakati wake umebuma huwezi tekwa Kenya ukatoka salama watu wanajua wanaotekwa kenya nini kinawapata Mariah umeshtukiwa!
Mkiandaa nyie utekaji huwa mtu hapatikani haraka?
 
Wenye akili watambue hakuna watekaji wenye nia ovu kweli wakuchukue halafu wakuachie ukiwa safe bila mkwaruzo wala uchovu, hao Amnesty walijuaje kama sio kupewa taarifa na Sativa aliyeandaa nae huo mchongo hapa anataka kuichafua Serikali na Mbowe
Mariah mkakati wake umebuma huwezi tekwa Kenya ukatoka salama watu wanajua wanaotekwa kenya nini kinawapata Mariah umeshtukiwa!
Nilikuwa najua una upumbavu fulani lakini sikudhani ni kwa kiwango hiki
 
Mwanamke mzuri,kama Maria, anawezaje akatekwa,Jijini Nairobi na wanaume watatu wenye silaha za moto,na gari ,then baada ya Lisaa upatikane ukiwa hai na kitamu Kiko salama?
Kumamubuzi wewe mpuuzi kabisa rapist stupid fool
 
Wenye akili watambue hakuna watekaji wenye nia ovu kweli wakuchukue halafu wakuachie ukiwa safe bila mkwaruzo wala uchovu, hao Amnesty walijuaje kama sio kupewa taarifa na Sativa aliyeandaa nae huo mchongo hapa anataka kuichafua Serikali na Mbowe
Mariah mkakati wake umebuma huwezi tekwa Kenya ukatoka salama watu wanajua wanaotekwa kenya nini kinawapata Mariah umeshtukiwa!
Sinema nyingine hiii tofauti ni waigizaji wakuu. Haina tofauti na zile za Nondo wa ACT.
 
Back
Top Bottom