Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
- Huyu mama amekuwa akitaka kurudi nyumbani kulifufua shirika lake la sheria kwa muda mrefu sana sasa, nijuavyo ni kwamba yuko matayarishoni kurudi nyumbani bongo kwenye shirika lake la sheria na wala sio siri among the tops, maana huwa hafichi akiwa na wakulu in private!
- Sefue is doing a great job kule haendi kokote ni dua la kuku tu!
Respect.
FMEs!
-Ni kweli mkuu.Mimi naona Balozi Ombeni Sefue anaifaa sana Marekani.Huyu mkulu namkubali kwa diplomasia