The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Haaaaa Haaaaa yule wangu Hana shida mtoto mzuri mzuri lazima apate dawa yakeWe utakua umemmisi @Rebbeca 83
Ila mnatia shombo kwenye thread za watu banaaaa.Haaaaa Haaaaa yule wangu Hana shida mtoto mzuri mzuri lazima apate dawa yake
Naona unataka uuanzishe moto na huku...sidhani kama utaustahimili.We utakua umemmisi Rebeca 83
Yule mwanamke ananitafutaga sana sasa leo kanipataIla mnatia shombo kwenye thread za watu banaaaa.
Kiwanja chetu cha mpira mmekiharibu mkaanza kujenga chenu.
Msiwe hivyo banaaa, wanawake ndio walimu wa jamii, sasa nyinyi mnatufundisha nini?Yule mwanamke ananitafutaga sana sasa leo kanipata
Ni baada ya ile thread yake ya Rwanda kala kimya na avatar Picha yake ya Obama alivyo kuwa kijanaKuna huyu wa kuitwa Humble African nae ni cku nyingi hajaonekana jamvin
Yes mkuu sijui nini kilimkumbaNi baada ya ile thread yake ya Rwanda kala kimya na avatar Picha yake ya Obama alivyo kuwa kijana
Dah mkuu hujafa tu? Hahaha welcome back mtani. Naamini sasa ni mwana CCMShukrani sana Mkuu 🙏🏽
WaapiiiiDah mkuu hujafa tu? Hahaha welcome back mtani. Naamini sasa ni mwana CCM
KongoshoNani Semenya ?