Mwanajamvi King Kong III huko wapi

Mwanajamvi King Kong III huko wapi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka

Huyu mwamba kapotea sana kabla hata ya Corona. Yuko wapi?

Mioyo yetu wiki hii imetulia baada ya BAK kurudi jamvini.

Kuna pia Kisu Cha Ngariba long time sana haonekani akina Beira Boy (London baby). Kuna pia NAMTUMBA .

King tulikuwa tunataniana humu anachoma mkaa minjingu.

Hope he is doing well and fine.
IMG_20200516_003552.jpg
 
Haaaaa Haaaaa yule wangu Hana shida mtoto mzuri mzuri lazima apate dawa yake
Ila mnatia shombo kwenye thread za watu banaaaa.
Kiwanja chetu cha mpira mmekiharibu mkaanza kujenga kiwanja chenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule mwanamke ananitafutaga sana sasa leo kanipata
Msiwe hivyo banaaa, wanawake ndio walimu wa jamii, sasa nyinyi mnatufundisha nini?
Tunataka tuone upendo kutoka kwenu, maswala ya ugomvi waachieni sisiemu na chadema.
 
Back
Top Bottom