Kushinda wahutu? Ref JiweTutsi wamejawa majivuno, roho mbaya na ubinafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushinda wahutu? Ref JiweTutsi wamejawa majivuno, roho mbaya na ubinafsi.
[emoji1][emoji1] aiseeeKushinda wahutu? Ref Jiwe
Itendee haki keyboard yako: Jazba iko wapi, na kwanini bangi uvute wewe kisha usingizie bangi kwa wengine, vile wewe ni mtoto wafikiri wote unaokutana nao ni vijana, unaonaje ukijadili hoja badala ya ku attack "posters"?, yaonesha hujui hata Geograph na anthropology ya eneo linalozungumziwa. Nakukumbusha tu kuwa hakuna mwanajeshi wa DRC anayesogelea mpaka wa Rwanda na hakuna Baracks za DRC hapo. Usilete story za vijiweniPunguza jaziba kaka! usiwe kama alie leta taarifa,bangi sio kitu vijana muache tu. unaingia nchi ya watu unapiga risasi hovyo eti umekua komando kwa kua umevuta bangi!.
Atakuwa "mgambo"Huyo ni solder tu na sio komandoo
Komandoo hatumii mbinu hizo
Huyo kwa tz ni kama jkt wa miez 3 tu bado anahasira na hamu ya vita huku hajajua matumizi sahihi ya silaha
Fuata hiyo link. Bahati nzuri alishuti video alikua Rwanda side. Tazama kwa umakini circle utaona dead RDFs
Tazama maisha ya Wahutu huko Rwanda. Anachapwa makofi Lisa kaongea na media
Haha. It's a common knowledgeUmejuaje hao ni wahutu mkuu!
Hujakosea mke wangu mrembo.huez fananisha wacongo na wa ukraine labda uwe chiz , wacongo Hawajielew ila wa ukraine wanapambana na Giant
huez fananisha wacongo na wa ukraine labda uwe chiz , wacongo Hawajielew ila wa ukraine wanapambana na Giant
Congo kwa kelele na mbwembwe huko Twitter unaweza kudhani Ni Superpower au iko inashinda Vita kumbe wanajeshi wake wanapewa kichapo mpaka wanakimbilia Uganda.
Watu wa Congo nawafananisha na wananchi wa Ukraine Kule Twitter yaani wanakula kichapo kila siku wanakufa kwa mamia lkn wako bize na Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine [emoji1][emoji1]
Utumwa wa kifikra mbaya sana leo unaona waafrica wenzako DRC hawajielewi ila watu weupe wa ukraine ndio wanajielewa?huez fananisha wacongo na wa ukraine labda uwe chiz , wacongo Hawajielew ila wa ukraine wanapambana na Giant
General anae ongoza mapambana ya FARDC kupambana na M23 juzi kabanwa alfu katupa gari kakimbia,sasa huyo dogo alichofanya c wataona ni shujaa kabisa!😂😂Mwili wake umepewa heshima kama Rais huko Goma. Wananchi wanamtaka ajengewe statue mpakani View attachment 2264227
Akili za interahamwe hizoNchi ya Rwanda chini ya Kagame haipaswi kuwemo kwenye Ramani ya Afrika. That's, it should be erased!!!