Afya ya akilichanzo ni nini?
[emoji23][emoji23]Afya ya akili
Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.Ila wanaume wa Tz [emoji119][emoji119]
Afu mnataka bangi ziruhusiwe kuvutwa kama Jamaica & Afghanistan kwa akili hizi za kulia lia kwenye kila uzi, si madishi yatawalemea Madaktari kuyaseti upya kila siku?daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaan gari inatembea unampga dereva hivi[emoji24][emoji24]
nimejikuta nalia aisee inaumiza[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23] alafu kuna alie kimbia hapo ndani ya gari kavaa shati nyeupe [emoji23] nahisi alitamani kutokea dirishaniWanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
😂 inawezekanaAfya ya akili
Huyo mshambuliaji nae hajachukua tahadhariBado sijajua nadhan ni Fujo za Dereva Daladala
Makasiriko kwa wafanya mazoezi yanahusiania vipi? Wabongo wengi akili ni kama hawana.Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
Wanazingua sana [emoji3][emoji23][emoji23] alafu kuna alie kimbia hapo ndani ya gari kavaa shati nyeupe [emoji23] nahisi alitamani kutokea dirishani