Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

ILa jamani daladala wanaboa,kwa wanaondesha magari DSM watanielewa.Sometimes inahitajika emotional tolerance kubwa sana kudeal na hawa watu,Hvhv unapata kesi kama ya Ditopile.
Wanaboa hasa
 
Mbona haya ni mazoezi ya Skauti nikiwa sekondari..... 🤣

Na huyu mpumbavu ndio aliuunguza picha yote na suti yake
1706056504053.png
 
Kabisa, uvumilivu wa uonevu huwa una mwisho,kwenda jeshini wasijione kuwa wako juu ya kila mtu...anaweza hata kuchezea bisibisi ya macho akawa kipofu daima na kazi yenyewe ya uanajeshi ikamshinda. Dunia ndogo hii tuishi kwa usawa
Tatizo tulilonalo Jf ama jamii ya mitandao ni kuhukumu kwa maelezo ya upande mmoja.

Sitetei ufedhuli wowote hapa, ninataka kuiweka mizani sawasawa.

Mleta uzi alitakiwa alete na upande wa pili wa shilingi ili tuweze kuchuja kwa weledi na kuhukumu.

Mambo ya hovyo ni mengi katika jamii yanayosukuma mtu ama kikundi kujichukulia sheria mkononi.

Sasa katika kuangalia sinema hizi,kabla hatujavaa suti za uhakimu ama majoho ya majaji, basi hawa waleta habari wawe wanatukamilshia habari kutoka pande mbili ili tuweze kuhukumu kwa weledi.

Ukiyafuatilia kiundani waweza kujikuta unapongeza na kusema: ' bora apigwe tu, maana hamna namna'!
Mimi ninajua athari za kusikiliza maneno ya upande mmoja.
 
Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.

Bora ampige mabao tu lakini asije mtu poteza maisha.

Sana sana anataka kutimiza haja ya hasira zake mbele za watu
Siyo kila Askari wa JWTZ anatembea na pistol.
Vyeo vya chini labda anunue yake binafsi.
 
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


hawa jamaa wanjitutumua sana,lakiniwakistaafu utashangaa,,,wanasinyaa kama mboo ya m2 mwenye kisukari!!!!
 
Hii Nchi kmmk huenda hata Muumba alishasepa miaka kibao na kashaisahau.
 
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


Askari wa Jeshi la Tanzania ni matatizo sana.
Asa unajiuliza ni either inferiority or superiority complex imewaathiri kisaikolojia.
Maana wakivaa hizo gwanda hujikuta wako juu ya kila mtu.
 
raia mpigwe tu na wanajeshi kwani hakuna namna. mmezidi mazoea ya kipuuzi acheni mnyooshwe nao
Unaonekana upo kwenye puberty mkuu ndio maana una mihemko sana.
Huku Kigamboni Navy wanajeshi wanachokozana ugomvi wa kipumbavu na raia kesha wanatumia mpaka silaha kugombana na raia.
We unaliona hilo sawa??
Wanajeshi wa Tanzania wengi ni MAMBWA kama alivyosema jamaa kwa kuendekeza matumizi ya nguvu.
Yani mie ningekua kiongozi ningeweka mahakama mahususi ya kuhukumu hao askari wanaotumia madaraka vibaya.
 
Back
Top Bottom