Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Wanajeshi ni waonevu sana Subiri nitoe mfano wa nikichokiona Juzi wakati natoka kazini mida ya Jioni maeneo ya Tabata Kinyererzi kuna wanafunz wa Primary walikua wakivuka kwenye zebra,hivyo madereva wa pande zote mbili wakawa wamesimama kwa mda kupisha madogo na baadhi ya watu wengine wavuke kwa mda huo mimi nilikua niko opposite na kaduka nliposhushiwa nanua vitu nikawa naona honi zinapigwa kama zote kwa mda ule na gari iliokuwa inapiga ni Toyota Spacio na ndani yake kulikua na WANAJESHI tena vijana tu around 30 kilichonishangaza walikua hawataki kabsa kusubiria kwenye zebra kupisha watu kuvuka wakiwa ni gari ya nne kutoka zebra ilipo kama walikua na haraka sana na wakawa mda huo wanatumia ubabe kabsa kutanua nlichoshangaa mmoja akashuka akaenda kumwambia dereva wa daladal zilizokua mbele ondoa mgari wako.ila sababu kabsa naelewa hawa majamaa hawanaga akili wala hawatumii akili zaidi ya kutii oda ndio mana wao na polisi ni watoto wa baba moja form4 failure
We nae kwanini ushuke kwenye gari uende dukani na uache gari barabarani? Kama ulikua na shida binafsi ungepaki gari pembeni na siyo kushuka na kuacha gari barabarani
 
Mpambe umesikia wanaenda kufanya kitchen party? Asiejua maana haambiwi maana endelea kukaririshwa hivyo hivyo

Hivi unajua hata kirefu cha TISS na unajua hao maofisa wa TISS wanatokea wapi au unafikiri wanapeana teuzi za mikoa DED sijui DC na RC unafikiri ni hivyo wanateuliwa km wenezi na makatibu?
Acha ubishi chukua elimu uliyopewa na jamaa yule mwanajeshi anaesimama nyuma ya Rais anaitwa mpambe wa Rais au ADC (Aide-de-campe) kazi yake ni Msaidizi wa Rais kama Rais ana briefcase anamsaidia kubeba au nyaraka zingine na siyo mlinzi walinzi ni wale TISS na polisi waliomzunguka Rais
 
Hao madereva wa daladala wanadharau Sana.. sishangai kupokea kichapo namna hiyo

Alafu na Wewe mleta Uzi Gari kilikuwa limesimama ika dereva kuonesha dharau akawasha
Watanzania tunaishi maisha ya kinafiki sana, humu hakuna asiyejua dharau na fujo za madereva daladala, lakini kwa unafiki wengi watachangia huku wakibase upande wa dereva kuwa ameonewa, wakati hawajui upande wa pili wa shilingi.
 
Acha ubishi chukua elimu uliyopewa na jamaa yule mwanajeshi anaesimama nyuma ya Rais anaitwa mpambe wa Rais au ADC (Aide-de-campe) kazi yake ni Msaidizi wa Rais kama Rais ana briefcase anamsaidia kubeba au nyaraka zingine na siyo mlinzi walinzi ni wale TISS na polisi waliomzunguka Rais
Kwa hio zile gwanda ni mapambio na mapambo ya upambe?
 
Ndo upokee elimu hiyo siyo kila mtu atakupa wengine hadi wanazeeka hawajui kuhusu hilo ukimegewa kipande cha ufaham pokea na usianze kubishana maana utaachwa na ubishi wako
Uwe unajibu maswali yule mpambe hua anavaa nini Ile dela? Umesema mpambe TU sio mtu wa Jeshi yaan mbeba mikoba ya Rais sasa mboni wanamvalisha gwanda la Jeshi?
 
Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
[emoji3][emoji3][emoji3] wanaume wa mikoani nao maneno matupu, si juzi juzi tu uko Arusha saa kumi jioni tu mji mzima watu washajifungia ndani wanamuogoga mtoto mdogo tu dangote
 
Back
Top Bottom