Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
nenda kwa mangeMbona hatuoni video ya hicho kipigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kwa mangeMbona hatuoni video ya hicho kipigo
We unafikiri unavaa vaa TU km show Off?Kwaiyo ukishavaa gwanda la jeshi unakuwa mlinzi?
Mnapenda video za ngono nyinyinenda kwa mange
halafu tambua unajulikana hivyo kuwa makini sana na wewe yasije kukuta ya zaidi ya huyo dereva daladala wenu mpuuzi sawa?
naangaliaga na baba yako mzaziMnapenda video za ngono nyinyi
Madereva wa daladala acha wafundishwe adabu,hua wanakera na kujifanya wanajua uhuni wa mjini
Askari yupo sahihi kumpa kichapo,wengi wa hawa madereva hua ni wajeuri,hawana heshima wala ustaarabu
Safi sana Askari
Huwezi ukavaa nguo za kijeshi na ukawa doctor au ukawa na majukumu mengine btw ufahamu wako na uwezo wa kureason upo chini sana.We unafikiri unavaa vaa TU km show Off?
Violence is never an option, hata kama dreva daladala ana kosa acha sheria zimuwajibishe sio Kwa kipigo. Huyo wanajeshi kwangu mm angekuwa anachimbiwa kaburi mda huuWatanzania tunaishi maisha ya kinafiki sana, humu hakuna asiyejua dharau na fujo za madereva daladala, lakini kwa unafiki wengi watachangia huku wakibase upande wa dereva kuwa ameonewa, wakati hawajui upande wa pili wa shilingi.
Dunia ina maajabu sana mkuu hawa jamaa wanafanya matukio ya kutafuta kifo kabisa...Violence is never an option, hata kama dreva daladala ana kosa acha sheria zimuwajibishe sio Kwa kipigo. Huyo wanajeshi kwangu mm angekuwa anachimbiwa kaburi mda huu
We jamaa ni una ubishi wa kizee,yule ni mwanajeshi tena mwenye cheo cha kanali.Ila kazi anayofanya pale ni Upambe (Aide de campe),habebi silaha yule,Labda neno Upambe linakupa shida kutokana na tafsiri yake kwa kiswahili.Alafu lazima uelewe officer mwenye hiko cheo hawezi kufanya kazi ya ulinzi ndo maana anaitwa mpambe.Uwe unajibu maswali yule mpambe hua anavaa nini Ile dela? Umesema mpambe TU sio mtu wa Jeshi yaan mbeba mikoba ya Rais sasa mboni wanamvalisha gwanda la Jeshi?
Sasa kuna mwenzio anasema yule sio Mwanajeshi Ila ni mpambe TU yaan lile gwanda amevaa km pambo tu la kwendea kwenye kitchen party, wewe unasema ni Mwanajeshi mwenye Cheo cha Kanali alafu unaboronga zaidi kwa kusema hawezi kufanya kazi ya Ulinzi, hivi unaelewa unachokiandika kabla ya kuandika? Mwanajeshi mwenye Cheo cha Kanali alafu sio Mlinzi Ila ni mpambe TU, unaelewa maana ya Mwanajeshi ni nini au unajiandikisha tu? Kazi ya Jeshi ni nini km sio Ulinzi?We jamaa ni una ubishi wa kizee,yule ni mwanajeshi tena mwenye cheo cha kanali.Ila kazi anayofanya pale ni Upambe (Aide de campe),habebi silaha yule,Labda neno Upambe linakupa shida kutokana na tafsiri yake kwa kiswahili.Alafu lazima uelewe officer mwenye hiko cheo hawezi kufanya kazi ya ulinzi ndo maana anaitwa mpambe.
Ebwana kule kuna watu wa Kada zote unazozijua wewe mpaka plumbers Ila wote ni Walinzi uwe na uelewa wale ni walinda Amani kwa maana Pana ni Walinzi unapowaona popote elewa hivyo hata km kavaa kiupambe upambe Ila elewa kazi yake sio upambe ni Ulinzi wa AmaniHuwezi ukavaa nguo za kijeshi na ukawa doctor au ukawa na majukumu mengine btw ufahamu wako na uwezo wa kureason upo chini sana.
Ulinzi tunaouzungumzia ni presidential bodyguard hacha umbumbumbu.uwe unasomasoma bac sio kukaa vijiweni tuSasa kuna mwenzio anasema yule sio Mwanajeshi Ila ni mpambe TU yaan lile gwanda amevaa km pambo tu la kwendea kwenye kitchen party, wewe unasema ni Mwanajeshi mwenye Cheo cha Kanali alafu unaboronga zaidi kwa kusema hawezi kufanya kazi ya Ulinzi, hivi unaelewa unachokiandika kabla ya kuandika? Mwanajeshi mwenye Cheo cha Kanali alafu sio Mlinzi Ila ni mpambe TU, unaelewa maana ya Mwanajeshi ni nini au unajiandikisha tu? Kazi ya Jeshi ni nini km sio Ulinzi?
Military unaelewa maana yake ni nini? Au umeruka hilo neno ulipokua unasoma? Uwe unatulia bodyguard ni nani sio Mlinzi kumbe? Yaan bado unajivuruga mara mpambe mara bodyguard huna pa kusimama?Ulinzi tunaouzungumzia ni presidential bodyguard hacha umbumbumbu.uwe unasomasoma bac sio kukaa vijiweni tu
Baba yako mzazi Si ndio unalala nae mmezoeshwa tabia chafu nyinyi vijana wa Digital Giggy money mnawazaga wallets tunaangaliaga na baba yako mzazi
Kwaiyo?Mbona haya ni mazoezi ya Skauti nikiwa sekondari..... 🤣