Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Yeye kaiba ngapi kutoka kwa wachina ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha. Nadhani anamaanisha wachina wanaona wauziwa siri kumbe,jamaa hizo siri kapewa ili na yeye apate SIRI za wachina ..means kuna Siri za China pia anazoKivipi yani jeshi ndio liwe limemfanya afanye hivyo? Yani jeshi limemtuma kuvujisha siri nyeti kama hizo?
Kweli Inawezekana aisee.teja hilo
Hahahahaha..nimekuelewaUnazijua sababu za yeye kufanya hivyo??
Ikiwa Jeshi ndilo limemfanya yeye aamue hivyo utafanyaje??
Mwajiriwa wa Jeshi anaponzwa na njaa?Njaa inamponza
Njaa ya mfukoni (Maokoto)sio ya tumbo.Mwajiriwa wa Jeshi anaponzwa na njaa?
Huwenda jesh likamuonea huruma akashushwa cheo pekeeAtahukumiwa vipi na sheria za Jamhuri wakati tayari atakuwa ameshang'ata pamba!?
Sheria za kijeshi huwa hazipindishwi.Huwenda jesh likamuonea huruma akashushwa cheo pekee
Ahahahah uwezi jua bhnaSheria za kijeshi huwa hazipindishwi.
Then nahisi sheria zao ni International.Ahahahah uwezi jua bhna
Hazitofautian sana ndio maana ukifanya kosa nje ya jeshi unapelekwa mahabusu ya kijesh ata uwe na cheo ganiThen nahisi sheria zao ni International.
Lakini sidhani kama inaukweli hii, can you prove it?Hazitofautian sana ndio maana ukifanya kosa nje ya jeshi unapelekwa mahabusu ya kijesh ata uwe na cheo gani
Ngoja uone siku meja generaly amekosea af uone atafwata na nani ni MP vyeo anavua anakula kaziLakini sidhani kama inaukweli hii, can you prove it?
SijakuelewaHiyo ni C. ngapi?
Ushawai ona mwanajeshi anahukumiwa mahakamani? Mwanajeshi akipata ajar MP (millitary police) lazima aende kushuhudia hiyo sehemu na kama mwanajeshi anakosa basi kabla jamuhuri haijamshtaki anakuwa anashtakiwa kijeshi na hatalala mahabusu MP sectionLakini sidhani kama inaukweli hii, can you prove it?
Kama Jeshi lilikuwa halimtendei haki, basi hata bure angeweza kutoa hizo taarifa bila kudai malipo yoyote yale.Mbona hela ndogo sana?. Hizo siri,tena za kijeshi na usalama,zinauzwa kuanzia bilioni 20,20+ huko. Kama alifanya hivyo kweli ni kichaa,tena mse*** tu
It depends.Ww unaweza kukataa billion 20 kutoa taarifa kwenye flash hata gb 32 hazijai