Sikuzote mie ni no 1 fan wa
@Nguruvi3 ....popote ninapoona mchango wake nitausoma.....yaani uzi akichangia nitafatilia koment zake tu
Bila kumsahau
@joka kuu
Kuna
@The Boss .... always yupo very calm...na nahisi ana jicho la pekee kwenye coment.... (except sehemu moja tu, akichangia kuhusu hilo calmness yake huisha)
@ )Preta .... mchango wake lazima niusome na aniache nikismile
@Evelyn Salt ....ana unique way ya kufikisha ujumbe....utafurahi tu
@Kaboom na
@Paulo Sergio De Souz. ...... nisipowaona nawamiss ghalfa......
@KikulachoChako..... always serious loh
@Heaven on Earth...hata kama mada ni chai atatoa ushauri wa maana
Hivi @nyumbakubwa yupo????
@Watu8 .....
@atoto...
Na wale wapenda ubuyu wenzangu wa jukwaa la celebrity wakiongozwa na
@warumi na
@Madam B
Na wengine weeeengiiiii siwezi kuwataja wote
@Asprin my hazbend...halafu nimemmisi huyu ppsti zake lazima ushike mbavu