MwanaJF aliyetabiri ajali ya ndege nashauri naye apewe ajira na Serikali

MwanaJF aliyetabiri ajali ya ndege nashauri naye apewe ajira na Serikali

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Wadau natumai Ni wazima;

Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.

Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu mkubwa sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu, utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabisa kuzuia ajali.

Karibuni kwa maoni
 
Ni kweli ila hatuna kawaida ya kung’amua vipaji.naunga mkono hoja
 
Si tayari tunao Watabiri wa Hali ya Hewa?
Au awe mtabiri wa ajali, leo kuna Tanker limeanguka Makomelo hajatabiri mbona?
IMG-20221109-WA0001.jpg
 
Wadau natumai Ni wazima;
Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.
Lakin mim nmekaa nikifkiria nikaona memba wa hum alietabir hii ajali nae afikiriwe na serikali,maana huyu ndo ana umuhim mkubwa Sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu,utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabsa kuzuia ajali.
Karibun kwa maoni
Muona maono ama mtabiri huwa hana uwezo wa kuepusha alichokiona mbeleni kisitokee.

Yanayojiri duniani huwa yameratibiwa na M/Mungu mwenyewe kwamba yatokee na hakuna wa kuepusha!

Hata wanaokuwa wamelengwa kufa siku hiyo hawawezi kusurvive kwa njia ya utabiri.

Lililoandikwa na bwana, ni lazima litimie.

Na halafu "maono" huja menyewe bila mtabiri kuyaserch.

Sasa kwa context hiyo, akiajiriwa ataleta impact gani katika kuzuia majanga?
 
Wadau natumai Ni wazima;

Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.

Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu mkubwa sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu, utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabisa kuzuia ajali.

Karibuni kwa maoni
Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
 
Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Hiyo ni karama itunze sana , jiepushe na madhambi ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau natumai Ni wazima;

Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.

Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu mkubwa sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu, utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabisa kuzuia ajali.

Karibuni kwa maoni
Halafu anayeniongoza ana nguvu sana kwani anaweza kunipeleka popote pale dunia tena pale pale ajari inapotoe tena ilinibidi niikwepe ndege kwani ilikuja kudondokea pale pale niliposimama nikakimbia kusimama mbele kidogo chakushangaza zaidi waokoaji wakawa wananiangalia kwa husuda
 
Halafu anayeniongoza ana nguvu sana kwani anaweza kunipeleka popote pale dunia tena pale pale ajari inapotoe tena ilinibidi niikwepe ndege kwani ilikuja kudondokea pale pale niliposimama nikakimbia kusimama mbele kidogo chakushangaza zaidi waokoaji wakawa wananiangalia kwa husuda
Mkuu, hauna connection yoyote na wajenzi huru kweli?

Kuna tukio kubwa litatokea ndani ya mwezi Desemba, fanya kuwaambia wanajf hapa
 
Halafu anayeniongoza ana nguvu sana kwani anaweza kunipeleka popote pale dunia tena pale pale ajari inapotoe tena ilinibidi niikwepe ndege kwani ilikuja kudondokea pale pale niliposimama nikakimbia kusimama mbele kidogo chakushangaza zaidi waokoaji wakawa wananiangalia kwa husuda
Maono,umepewa karama kubwa sana itumie mkuu
 
Back
Top Bottom